Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,594
Hello JF,
Kuna imani kuwa baadhi yetu wanawake tunapenda pesa na hatuna mapenzi ya kweli, leo nimeona mahali, ufafanuzi wake, lol. Ni kwamba as a society, tumeweka tabaka wanawake wabaki nyumbani kutunza familia.
Hii hali imefanya wanawake wawe tegemezi, wasio na hela wala power, so katika kujenga familia tunatafuta security! Mtu mwenye hela na power ndio anaonekana anafaa kuwa naye.
*** Hii haiwahusu wadada wa JF![Big Grin :D :D]()
![Big Grin :D :D]()
![Stick Out Tongue :p :p]()
Kuna imani kuwa baadhi yetu wanawake tunapenda pesa na hatuna mapenzi ya kweli, leo nimeona mahali, ufafanuzi wake, lol. Ni kwamba as a society, tumeweka tabaka wanawake wabaki nyumbani kutunza familia.
Hii hali imefanya wanawake wawe tegemezi, wasio na hela wala power, so katika kujenga familia tunatafuta security! Mtu mwenye hela na power ndio anaonekana anafaa kuwa naye.
*** Hii haiwahusu wadada wa JF