God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,029
...
Naunga mkono hoja, Fred aliuliwa kwa mipango ya PK, reason, tofauti za approach to ushindi, Fred alipendelea kumaliza vita kwa mazungumzo ili finally wawe na serikali ya mseto, hardliner PK et al hawakutaka, so wakamzawadia kifoThe brains behind ya vifyo vyote viwili anajulikana/wanajulikana - Stori nyingi kuhusu kifo cha Fred kwa mfano zina lengo la kuzuga watu - aliuwawa kwa kudunguliwa na a telescopic sighted sniper rifle - muuaji alikuwa anajua ujio wa Fred in advance akajificha kwenye Kilima akamlenge na kufyatua risasi, haya mambo ya kusema aliuwawa kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe hayana ukweli wowote.
Yeye alikuwa ameteuliwa na M7 kwenda kwenye mafunzo ya kijeshi huko Texas Marekani kama nakumbuka vizuri, lakini Fred akashauri mafunzo hayo aende Kagame - sasa aijulikani kama Kagame alikwenda mafunzoni kwa shingo upande au la - lakini hile kasi ya yeye kukatisha mafunzo ya kijeshi na kurudi mbio mbio baada ya kifo cha Fred speaks VOLUME.
Sio siri kuna baadhi ya Watutsi kwenye jeshi la RPF walikuwa wanakerwa na Fred kutokana na yeye kuwa so popular vile vile na tacticts zake za kutumia njia za kistaarabu kufikia malengo ya kuingia madarakani huko Rwanda, kama Fred ndiye angeongoza mapigano wala mambo ya genocide yasingitokea nchini Rwanda, lakini baadhi ya wapinzani wa Fred ambao ni Watutsi wenzake utawasikia wakimzulia mambo chungu mzima Fred eti he was indecisive, immature and what have you! Uongo mtupu.
Ukweli ni kwamba kuna baadhi ya Watutsi walikuwa determined from the word go kwamba Fred asiwe kiongozi mkuu nchini Rwanda ndio maana walikatisha ahai wake too soon.
Swali zuri sana mkuu, lkn sijui kama utajibiwa maana ni hatari.Je katika serikali ya PK kuna mawaziri wangapi ambao ni wahutu? Je wapo katika wizara gani?
5% ni mengineyo!Hutu 80%
Tutsi 13
Twa 2
80 + 13 + 2 = 95% je! 5% iliyobaki ni ya kabila gani?
So sadNaunga mkono hoja, Fred aliuliwa kwa mipango ya PK, reason, tofauti za approach to ushindi, Fred alipendelea kumaliza vita kwa mazungumzo ili finally wawe na serikali ya mseto, hardliner PK et al hawakutaka, so wakamzawadia kifo
Wee tumbili ulijuaje wakati wewe na interahamwe wenzako mlikuwa busy kuiba na kufanya genocideNaunga mkono hoja, Fred aliuliwa kwa mipango ya PK, reason, tofauti za approach to ushindi, Fred alipendelea kumaliza vita kwa mazungumzo ili finally wawe na serikali ya mseto, hardliner PK et al hawakutaka, so wakamzawadia kifo
Wakati Kagame alikuwa busy kukomboa Rwanda ,wewe na interahamwe wenzako mlikuwa busy kuua watutsi,the good thing wewe na tumbili wenzako ambao mmezagaa bongo mkijiita wanyamwezi or whatever mnaishi kwa wasiwasi kila siku maana mko wanted for the next 100yrs like NAZIs ambao kesi zao bado ziko active,piga kelele tuu they are coming to get youNaunga mkono hoja, Fred aliuliwa kwa mipango ya PK, reason, tofauti za approach to ushindi, Fred alipendelea kumaliza vita kwa mazungumzo ili finally wawe na serikali ya mseto, hardliner PK et al hawakutaka, so wakamzawadia kifo
Ulifikiri dunia haijui, pole yako, anyway, aliyetekeleza mauaji ya Rwigema alishughulikiwa vilivyo na vijana wa mseven, hilo nalo unadhani dunia haijui? Pole zenuWee tumbili ulijuaje wakati wewe na interahamwe wenzako mlikuwa busy kuiba na kufanya genocide
Wakati Kagame alikuwa busy kukomboa Rwanda ,wewe na interahamwe wenzako mlikuwa busy kuua watutsi,the good thing wewe na tumbili wenzako ambao mmezagaa bongo mkijiita wanyamwezi or whatever mnaishi kwa wasiwasi kila siku maana mko wanted for the next 100yrs like NAZIs ambao kesi zao bado ziko active,piga kelele tuu they are coming to get you
Kagame alifahamu kua Fred ndye alikua kaandaliwa kuongoza RwandaNaunga mkono hoja, Fred aliuliwa kwa mipango ya PK, reason, tofauti za approach to ushindi, Fred alipendelea kumaliza vita kwa mazungumzo ili finally wawe na serikali ya mseto, hardliner PK et al hawakutaka, so wakamzawadia kifo