Ni kweli Manji na vyeti vya makonda havina Uhusiano kabsa ni magazeti mengi kwa sasa yamemkataa makonda Daudi Albert baada ya kugundua kuwa alitumia fursa ya kisingizio cha kupambana na Unga kupenyeza chuki, wivu na kukomoana, sasa eti wanataka Gazeti limfagilie Mtu mwenye Roho mbaya mnafiki anayelala na masogange muuza unga Sigu, magazeti tendeni kazi kwa misingi ya haki na si magazeti walimwambia magufuli atangaze kupiga marufuku vyeti feki ni yy mwenyewe aliamua, cha ajabu sasa kawa muoga juu ya vyeti vya Daud Albert, na endapo atamlinda kwa kweli heshima yake itapungua sana.Nitajie uongo ulioandikwa na gazeti hilo. Kuulizwa kuhusu elimu yako unajibu kuhusu Manji? Elimu ya Makonda na Manji vinahusianaje hata ulihusishe gazeti hilo na Manji? Aliyeanzishah habari kuhusu habari ya elimu ya Makonda katika mitandao ni Jambo Leo. Inawezekana si tu kwamba huna habari za kutosha, ni kwamba huna habari zozote kuhusu kile kinachoendelea.