Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,216
- Thread starter
- #81
Yaani unajiuliza hivi kila BM actress lazima afungashe?Mimi nisichopenda..
1. Kila movie lazima ina mambo ya uchawi na ushirikina.. Yani zinaboa kwwli .
2.Kukosa akili na ubunifu..... Watafute vipanga wwnye vipaji na akli za darasani, makalio tunayaona mitaani huku, hatutaki ya kwenye TV