Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa.

Ndugu zangu,

kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 kumezuka taharuki baada ya matukio kadhaa ya baadhi ya wanasiasa wakiwemo wabunge, madiwani na hata wagombea urais kuhama vyama vyao hususani CHADEMA na kuhamia vyama vingine.

Kwa mwaka huu ,2019, waliokuwa wagombea Urais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Edward Lowassa (CHADEMA) na Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar (CUF) hawa wote waliwakilisha muungano usiokuwa rasmi ukiitwa UKAWA wamechana na vyama vyao na kwenda katika vyama vingine.Huku Lowassa akirejea CCM, na Seif akitimkia ACT-Wazalendo.

lazima tuseme ukweli, Muungano wa UKAWA uliibeba Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2015 huku ukikandamiza vyama vingine. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 2020 iwe kuna makubaliano baina ya vyama au yasiwepo CHADEMA itakuwa muathirika mkuu, kutokana na sababu/hoja zifuatazo;

Kwanza, ulaghai uliotumika na Mbowe kusimamisha wagombea CHADEMA katika majimbo ya vyama vingine hautakubalika tena. Ikimbukwe, wagimbea wa CHADEMA walimgomea Duni Haji kuwaachia majimbo wagombea wa CUF hususani katika maeneo ya mikoa ya kusini na Segerea huku Mbowe akitumia kigezo cha ''mahakama ya wananchi''. Waswahili wanasema ''uking'atwa na nyoka hata jani.......''

Pili, Nguvu ya Ndg.Edward Lowassa iliwabeba katika maeneo mengi hususani mijini kwani baadhi ya wafuasi wa Lowassa walioasi CCM walisaliti mbinu na kuwasaidia wapinzani kushinda. Mfano, Iringa, Dar, Mbeya, Arusha, na Kilimanjaro. Hata baada ya Uchaguzi madiwani wateule katika mkoa wa Dar walikusanyika katika ofisi ya Lowassa Mikocheni kumpa shukrani za dhati kwa kuwasaidia kushinda. Msaada huu wa Lowassa hautakuwepo mwaka 2020.

Tatu, hakuna ubishi mpasuko ndani ya Chadema baina ya viongozi, wanachama na wabunge ulisababishwa na hali ya kutoaminiana ni udhaifu mkubwa kuelekea mwaka 2020. Kitendo cha baadhi ya wabunge Chadema kung'atuka au kuvuliwa ubunge ''kiutatanishi'' kama Nassari ni dhahiri hali ni tete kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Nne, Mbowe,Lissu na wenzano hawatataka Zitto Kabwe awe ''bosi'' hasa ukizingatia mizengwe, vitimbi na kejeli na kumfukuza Chadema huku wakiapa kwa ''miungu yao'' Zitto ni ''msaliti'' na hatafanikiwa na hata kukibatiza chama chake cha ACT (''Allience for Cowards and Traitors'') na yeye kumpa jina la ''Ayatollah''. Ndio maana hata Tundu Lissu kapigwa na kigugumizi na uoga mwingi.

Tano, lazima tukubali huku bara na haswa mikoa ya kusini ambapo Cuf ina nguvu ni kutokana na jitihada za Lipumba ambaye alitumia hoja ya ''gesi asilia'' kwa kutumia kauli maarufu ya ''gesi haitoki''..tusibeze, yenye nguvu kusini ni Cuf na sio mtu na hata mwaka 2020 wataendelea kupata wabunge huko kusini kwani hata hao waliopo ni vijana aliowapika yeye.

Sita, ni dhahiri ACT Wazalendo sasa atazoa viti vya ubunge na wawakilishi nusu kutoka Zanzibar na pia ndio itakuwa pumulio la wanasiasa na wabunge wenye ugomvi na viongozi wao CCM,CUF na CHADEMA hivyo lazima itapata viti Tanganyika kukifanya kuwa Chama chenye ushawishi kwani pia kitakuwa na ushawishi Zanzibar.

Hoja hizi nilizoanishwa zikitumiwa vema katika mtazamo chanya na CHADEMA zitwasaidia kupunguza athari za maangamizo lakini wakiendelea kukaza shingo kwa kutoa kejeli muda utasema.

Nawasilisha.
 
Hizo sababu zimeanikwa na nani?Endeleeni kufanya tathimini propaganda hapo lumumba!
Halafu we jamaa uliza vyama vishirik vya ukawa kabla ya muunganiko vilikuwa na wabunge wangapi na baada ya muunganiko vikawa na wabunge wangapi!!!!
So hapo umedanganya mchana kweupe kusema CDM ilivikandamiza vyama washirika!
Hoja nyingine ni za kipuuzi tu,mnarudia mara Lowassa,mara Maalimu!!!!
Subirini mtaona shughuli pevu!
 
Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa.

Ndugu zangu,

kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 kumezuka taharuki baada ya matukio kadhaa ya baadhi ya wanasiasa wakiwemo wabunge, madiwani na hata wagombea urais kuhama vyama vyao hususani CHADEMA na kuhamia vyama vingine.

Kwa mwaka huu ,2019, waliokuwa wagombea Urais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Edward Lowassa (CHADEMA) na Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar (CUF) hawa wote waliwakilisha muungano usiokuwa rasmi ukiitwa UKAWA wamechana na vyama vyao na kwenda katika vyama vingine.Huku Lowassa akirejea CCM, na Seif akitimkia ACT-Wazalendo.

lazima tuseme ukweli, Muungano wa UKAWA uliibeba Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2015 huku ukikandamiza vyama vingine. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 2020 iwe kuna makubaliano baina ya vyama au yasiwepo CHADEMA itakuwa muathirika mkuu, kutokana na sababu/hoja zifuatazo;

Kwanza, ulaghai uliotumika na Mbowe kusimamisha wagombea CHADEMA katika majimbo ya vyama vingine hautakubalika tena. Ikimbukwe, wagimbea wa CHADEMA walimgomea Duni Haji kuwaachia majimbo wagombea wa CUF hususani katika maeneo ya mikoa ya kusini na Segerea huku Mbowe akitumia kigezo cha ''mahakama ya wananchi''. Waswahili wanasema ''uking'atwa na nyoka hata jani.......''

Pili, Nguvu ya Ndg.Edward Lowassa iliwabeba katika maeneo mengi hususani mijini kwani baadhi ya wafuasi wa Lowassa walioasi CCM walisaliti mbinu na kuwasaidia wapinzani kushinda. Mfano, Iringa, Dar, Mbeya, Arusha, na Kilimanjaro. Hata baada ya Uchaguzi madiwani wateule katika mkoa wa Dar walikusanyika katika ofisi ya Lowassa Mikocheni kumpa shukrani za dhati kwa kuwasaidia kushinda. Msaada huu wa Lowassa hautakuwepo mwaka 2020.

Tatu, hakuna ubishi mpasuko ndani ya Chadema baina ya viongozi, wanachama na wabunge ulisababishwa na hali ya kutoaminiana ni udhaifu mkubwa kuelekea mwaka 2020. Kitendo cha baadhi ya wabunge Chadema kung'atuka au kuvuliwa ubunge ''kiutatanishi'' kama Nassari ni dhahiri hali ni tete kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Nne, Mbowe,Lissu na wenzano hawatataka Zitto Kabwe awe ''bosi'' hasa ukizingatia mizengwe, vitimbi na kejeli na kumfukuza Chadema huku wakiapa kwa ''miungu yao'' Zitto ni ''msaliti'' na hatafanikiwa na hata kukibatiza chama chake cha ACT (''Allience for Cowards and Traitors'') na yeye kumpa jina la ''Ayatollah''. Ndio maana hata Tundu Lissu kapigwa na kigugumizi na uoga mwingi.

Tano, lazima tukubali huku bara na haswa mikoa ya kusini ambapo Cuf ina nguvu ni kutokana na jitihada za Lipumba ambaye alitumia hoja ya ''gesi asilia'' kwa kutumia kauli maarufu ya ''gesi haitoki''..tusibeze, yenye nguvu kusini ni Cuf na sio mtu na hata mwaka 2020 wataendelea kupata wabunge huko kusini kwani hata hao waliopo ni vijana aliowapika yeye.

Sita, ni dhahiri ACT Wazalendo sasa atazoa viti vya ubunge na wawakilishi nusu kutoka Zanzibar na pia ndio itakuwa pumulio la wanasiasa na wabunge wenye ugomvi na viongozi wao CCM,CUF na CHADEMA hivyo lazima itapata viti Tanganyika kukifanya kuwa Chama chenye ushawishi kwani pia kitakuwa na ushawishi Zanzibar.

Hoja hizi nilizoanishwa zikitumiwa vema katika mtazamo chanya na CHADEMA zitwasaidia kupunguza athari za maangamizo lakini wakiendelea kukaza shingo kwa kutoa kejeli muda utasema.

Nawasilisha.
Haitakaa itokee , na uharamia wa ccm unajulikana so now ni kula vichwa tuu
 
CHADEMA itapoteza sana uchaguzi ujao uchaguzi uliopita walifanya makosa sana hasa kuweka watu wasiokubalika na kuzua migogoro naitabiria ACT kuwa chama kikuu cha upinzani after 2020 CHADEMA wataungana na NCCR MAGEUZI kuwa chama chenye wawakilishi wachache bungeni
 
Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa.

Ndugu zangu,

kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 kumezuka taharuki baada ya matukio kadhaa ya baadhi ya wanasiasa wakiwemo wabunge, madiwani na hata wagombea urais kuhama vyama vyao hususani CHADEMA na kuhamia vyama vingine.

Kwa mwaka huu ,2019, waliokuwa wagombea Urais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Edward Lowassa (CHADEMA) na Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar (CUF) hawa wote waliwakilisha muungano usiokuwa rasmi ukiitwa UKAWA wamechana na vyama vyao na kwenda katika vyama vingine.Huku Lowassa akirejea CCM, na Seif akitimkia ACT-Wazalendo.

lazima tuseme ukweli, Muungano wa UKAWA uliibeba Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2015 huku ukikandamiza vyama vingine. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 2020 iwe kuna makubaliano baina ya vyama au yasiwepo CHADEMA itakuwa muathirika mkuu, kutokana na sababu/hoja zifuatazo;

Kwanza, ulaghai uliotumika na Mbowe kusimamisha wagombea CHADEMA katika majimbo ya vyama vingine hautakubalika tena. Ikimbukwe, wagimbea wa CHADEMA walimgomea Duni Haji kuwaachia majimbo wagombea wa CUF hususani katika maeneo ya mikoa ya kusini na Segerea huku Mbowe akitumia kigezo cha ''mahakama ya wananchi''. Waswahili wanasema ''uking'atwa na nyoka hata jani.......''

Pili, Nguvu ya Ndg.Edward Lowassa iliwabeba katika maeneo mengi hususani mijini kwani baadhi ya wafuasi wa Lowassa walioasi CCM walisaliti mbinu na kuwasaidia wapinzani kushinda. Mfano, Iringa, Dar, Mbeya, Arusha, na Kilimanjaro. Hata baada ya Uchaguzi madiwani wateule katika mkoa wa Dar walikusanyika katika ofisi ya Lowassa Mikocheni kumpa shukrani za dhati kwa kuwasaidia kushinda. Msaada huu wa Lowassa hautakuwepo mwaka 2020.

Tatu, hakuna ubishi mpasuko ndani ya Chadema baina ya viongozi, wanachama na wabunge ulisababishwa na hali ya kutoaminiana ni udhaifu mkubwa kuelekea mwaka 2020. Kitendo cha baadhi ya wabunge Chadema kung'atuka au kuvuliwa ubunge ''kiutatanishi'' kama Nassari ni dhahiri hali ni tete kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Nne, Mbowe,Lissu na wenzano hawatataka Zitto Kabwe awe ''bosi'' hasa ukizingatia mizengwe, vitimbi na kejeli na kumfukuza Chadema huku wakiapa kwa ''miungu yao'' Zitto ni ''msaliti'' na hatafanikiwa na hata kukibatiza chama chake cha ACT (''Allience for Cowards and Traitors'') na yeye kumpa jina la ''Ayatollah''. Ndio maana hata Tundu Lissu kapigwa na kigugumizi na uoga mwingi.

Tano, lazima tukubali huku bara na haswa mikoa ya kusini ambapo Cuf ina nguvu ni kutokana na jitihada za Lipumba ambaye alitumia hoja ya ''gesi asilia'' kwa kutumia kauli maarufu ya ''gesi haitoki''..tusibeze, yenye nguvu kusini ni Cuf na sio mtu na hata mwaka 2020 wataendelea kupata wabunge huko kusini kwani hata hao waliopo ni vijana aliowapika yeye.

Sita, ni dhahiri ACT Wazalendo sasa atazoa viti vya ubunge na wawakilishi nusu kutoka Zanzibar na pia ndio itakuwa pumulio la wanasiasa na wabunge wenye ugomvi na viongozi wao CCM,CUF na CHADEMA hivyo lazima itapata viti Tanganyika kukifanya kuwa Chama chenye ushawishi kwani pia kitakuwa na ushawishi Zanzibar.

Hoja hizi nilizoanishwa zikitumiwa vema katika mtazamo chanya na CHADEMA zitwasaidia kupunguza athari za maangamizo lakini wakiendelea kukaza shingo kwa kutoa kejeli muda utasema.

Nawasilisha.
Mpelekee Jiwe hii taarifa akuteua wizara mpya ya umbea na uchokonosi. Ila nimjuavyo na yeye atakuchokonoa tu. No frii lanchi
 
Mkuu kama kutakuwa na uchaguzi 2020 chadema itashinda ubunge majimbo mengi mno na kinara wa urais atakuwa Lissu.

Ila nikudokeze tuu kuwa hakutakuwa na uchaguzi zaidi vurugu na makelele ya vyombo vya usalama wakizunguka nchi nzima na wanachama wa ccm wakifanya vurugu badala ya siasa.

In fact Zanzibar mambo yataenda vizuri watafanya uchaguzi safi na wademokrasia utakua ni uchaguzi wa amani ambao haujawai kutokea tangu kuanzoshwa kwa serikali ya mapinduzi Zanzibar, ACT wata chukua viti zaidi ya 40 vya ubunge na kupelekea kuundwa kwa serikali ya mseto.
 
Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa.

Ndugu zangu,

kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 kumezuka taharuki baada ya matukio kadhaa ya baadhi ya wanasiasa wakiwemo wabunge, madiwani na hata wagombea urais kuhama vyama vyao hususani CHADEMA na kuhamia vyama vingine.

Kwa mwaka huu ,2019, waliokuwa wagombea Urais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Edward Lowassa (CHADEMA) na Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar (CUF) hawa wote waliwakilisha muungano usiokuwa rasmi ukiitwa UKAWA wamechana na vyama vyao na kwenda katika vyama vingine.Huku Lowassa akirejea CCM, na Seif akitimkia ACT-Wazalendo.

lazima tuseme ukweli, Muungano wa UKAWA uliibeba Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2015 huku ukikandamiza vyama vingine. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 2020 iwe kuna makubaliano baina ya vyama au yasiwepo CHADEMA itakuwa muathirika mkuu, kutokana na sababu/hoja zifuatazo;

Kwanza, ulaghai uliotumika na Mbowe kusimamisha wagombea CHADEMA katika majimbo ya vyama vingine hautakubalika tena. Ikimbukwe, wagimbea wa CHADEMA walimgomea Duni Haji kuwaachia majimbo wagombea wa CUF hususani katika maeneo ya mikoa ya kusini na Segerea huku Mbowe akitumia kigezo cha ''mahakama ya wananchi''. Waswahili wanasema ''uking'atwa na nyoka hata jani.......''

Pili, Nguvu ya Ndg.Edward Lowassa iliwabeba katika maeneo mengi hususani mijini kwani baadhi ya wafuasi wa Lowassa walioasi CCM walisaliti mbinu na kuwasaidia wapinzani kushinda. Mfano, Iringa, Dar, Mbeya, Arusha, na Kilimanjaro. Hata baada ya Uchaguzi madiwani wateule katika mkoa wa Dar walikusanyika katika ofisi ya Lowassa Mikocheni kumpa shukrani za dhati kwa kuwasaidia kushinda. Msaada huu wa Lowassa hautakuwepo mwaka 2020.

Tatu, hakuna ubishi mpasuko ndani ya Chadema baina ya viongozi, wanachama na wabunge ulisababishwa na hali ya kutoaminiana ni udhaifu mkubwa kuelekea mwaka 2020. Kitendo cha baadhi ya wabunge Chadema kung'atuka au kuvuliwa ubunge ''kiutatanishi'' kama Nassari ni dhahiri hali ni tete kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Nne, Mbowe,Lissu na wenzano hawatataka Zitto Kabwe awe ''bosi'' hasa ukizingatia mizengwe, vitimbi na kejeli na kumfukuza Chadema huku wakiapa kwa ''miungu yao'' Zitto ni ''msaliti'' na hatafanikiwa na hata kukibatiza chama chake cha ACT (''Allience for Cowards and Traitors'') na yeye kumpa jina la ''Ayatollah''. Ndio maana hata Tundu Lissu kapigwa na kigugumizi na uoga mwingi.

Tano, lazima tukubali huku bara na haswa mikoa ya kusini ambapo Cuf ina nguvu ni kutokana na jitihada za Lipumba ambaye alitumia hoja ya ''gesi asilia'' kwa kutumia kauli maarufu ya ''gesi haitoki''..tusibeze, yenye nguvu kusini ni Cuf na sio mtu na hata mwaka 2020 wataendelea kupata wabunge huko kusini kwani hata hao waliopo ni vijana aliowapika yeye.

Sita, ni dhahiri ACT Wazalendo sasa atazoa viti vya ubunge na wawakilishi nusu kutoka Zanzibar na pia ndio itakuwa pumulio la wanasiasa na wabunge wenye ugomvi na viongozi wao CCM,CUF na CHADEMA hivyo lazima itapata viti Tanganyika kukifanya kuwa Chama chenye ushawishi kwani pia kitakuwa na ushawishi Zanzibar.

Hoja hizi nilizoanishwa zikitumiwa vema katika mtazamo chanya na CHADEMA zitwasaidia kupunguza athari za maangamizo lakini wakiendelea kukaza shingo kwa kutoa kejeli muda utasema.

Nawasilisha.
Mugambo wanaruka na kukanyagana, naona mnateseka sana na CHADEMA. 2020 CCM mjipange huo moto msiupime!
 
Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa.

Ndugu zangu,

kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 kumezuka taharuki baada ya matukio kadhaa ya baadhi ya wanasiasa wakiwemo wabunge, madiwani na hata wagombea urais kuhama vyama vyao hususani CHADEMA na kuhamia vyama vingine.

Kwa mwaka huu ,2019, waliokuwa wagombea Urais wa Jahmuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Edward Lowassa (CHADEMA) na Maalim Seif Hamad mgombea urais Zanzibar (CUF) hawa wote waliwakilisha muungano usiokuwa rasmi ukiitwa UKAWA wamechana na vyama vyao na kwenda katika vyama vingine.Huku Lowassa akirejea CCM, na Seif akitimkia ACT-Wazalendo.

lazima tuseme ukweli, Muungano wa UKAWA uliibeba Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2015 huku ukikandamiza vyama vingine. Kuelekea uchaguzi wa mwaka 2020 iwe kuna makubaliano baina ya vyama au yasiwepo CHADEMA itakuwa muathirika mkuu, kutokana na sababu/hoja zifuatazo;

Kwanza, ulaghai uliotumika na Mbowe kusimamisha wagombea CHADEMA katika majimbo ya vyama vingine hautakubalika tena. Ikimbukwe, wagimbea wa CHADEMA walimgomea Duni Haji kuwaachia majimbo wagombea wa CUF hususani katika maeneo ya mikoa ya kusini na Segerea huku Mbowe akitumia kigezo cha ''mahakama ya wananchi''. Waswahili wanasema ''uking'atwa na nyoka hata jani.......''

Pili, Nguvu ya Ndg.Edward Lowassa iliwabeba katika maeneo mengi hususani mijini kwani baadhi ya wafuasi wa Lowassa walioasi CCM walisaliti mbinu na kuwasaidia wapinzani kushinda. Mfano, Iringa, Dar, Mbeya, Arusha, na Kilimanjaro. Hata baada ya Uchaguzi madiwani wateule katika mkoa wa Dar walikusanyika katika ofisi ya Lowassa Mikocheni kumpa shukrani za dhati kwa kuwasaidia kushinda. Msaada huu wa Lowassa hautakuwepo mwaka 2020.

Tatu, hakuna ubishi mpasuko ndani ya Chadema baina ya viongozi, wanachama na wabunge ulisababishwa na hali ya kutoaminiana ni udhaifu mkubwa kuelekea mwaka 2020. Kitendo cha baadhi ya wabunge Chadema kung'atuka au kuvuliwa ubunge ''kiutatanishi'' kama Nassari ni dhahiri hali ni tete kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Nne, Mbowe,Lissu na wenzano hawatataka Zitto Kabwe awe ''bosi'' hasa ukizingatia mizengwe, vitimbi na kejeli na kumfukuza Chadema huku wakiapa kwa ''miungu yao'' Zitto ni ''msaliti'' na hatafanikiwa na hata kukibatiza chama chake cha ACT (''Allience for Cowards and Traitors'') na yeye kumpa jina la ''Ayatollah''. Ndio maana hata Tundu Lissu kapigwa na kigugumizi na uoga mwingi.

Tano, lazima tukubali huku bara na haswa mikoa ya kusini ambapo Cuf ina nguvu ni kutokana na jitihada za Lipumba ambaye alitumia hoja ya ''gesi asilia'' kwa kutumia kauli maarufu ya ''gesi haitoki''..tusibeze, yenye nguvu kusini ni Cuf na sio mtu na hata mwaka 2020 wataendelea kupata wabunge huko kusini kwani hata hao waliopo ni vijana aliowapika yeye.

Sita, ni dhahiri ACT Wazalendo sasa atazoa viti vya ubunge na wawakilishi nusu kutoka Zanzibar na pia ndio itakuwa pumulio la wanasiasa na wabunge wenye ugomvi na viongozi wao CCM,CUF na CHADEMA hivyo lazima itapata viti Tanganyika kukifanya kuwa Chama chenye ushawishi kwani pia kitakuwa na ushawishi Zanzibar.

Hoja hizi nilizoanishwa zikitumiwa vema katika mtazamo chanya na CHADEMA zitwasaidia kupunguza athari za maangamizo lakini wakiendelea kukaza shingo kwa kutoa kejeli muda utasema.

Nawasilisha.
Kaanike chupi zako huna uwezo wa kuanika ya CDM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu CHADEMA kukosa wabunge zaidi ya nusu mwaka 2020 zaanikwa.
Kwanza naunga mkono hoja kuwa Chadema will loose big time, 2020, na kama kisio lako ni zaidi ya nusu, nahisi watakuwa wamejitahidi sana, mimi nilihesabu ni wote hawatarudi, ila sababu zangu ni tofauti na zako.
  1. Kasi ya Magufuli-https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-kasi-hii-ya-magufuli-kuna-haja-kufanya-uchaguzi-wa-rais-2020.980346/
  2. Tanzania bado hatuna upinzani makini, huu upinzani wote uliopo, bado ni upinzani uchwara, bado hakuna upinzani wa kuitoa CCM ikulu.Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo - JamiiForums
  3. Chadema sio chama makini-https://www.jamiiforums.com/threads/je-chadema-inaweza-kushinda-2020-is-it-serious-credible-mature-enough-opposition.1249668/
  4. Chadema haijajipanga, na haikuwahi kujipanga -https://www.jamiiforums.com/threads/chadema-hamkujipanga-hamjajipanga-hamjipangi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/page-6
  5. Ndivyo Trends zinavyoelekeza-https://www.jamiiforums.com/threads/trend-reading-wanaohamia-ccm-wasibezwe-wanaona-mbali-2020-majimbo-yote-kurejeshwa-je-tunarejea-nchi-ya-chama-kimoja.1358762/page-4
  6. Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au Ni Magufuli tu?!. - JamiiForums
  7. Kwanini CCM inaendelea kushinda chaguzi, licha ya kuwa ndio chanzo cha umasikini wa taifa letu, rushwa na ufisadi?! - JamiiForums
  8. CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? - JamiiForums
  9. Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu? - JamiiForums

P.
 
Sema ndio alilopanga jiwe!
Mbona hiyo iko wazi na yeye jpm alishasema wakurugenzi aliowateua yeye ole wake watangaze mpinzani ameshinda!


Huo ulioandika ni upupu wako wako tu ila chanzo ni huyo jiwe hilo liko kwenye plan yake
 
Back
Top Bottom