Sababu asilia USHOGA kuwa maarufu sehemu za mwambao

Status
Not open for further replies.

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,845
Wandugu hali ni mbaya mpaka inaogopesha.... USHOGA Tanzania si jambo la ajabu sana kivile.... Nimesoma kwa kushtuka post ya NAKWEDE kuhusu jamaa mbaba wa familia kuwa na bwana... Yaani analawitiwa... Kilichonistua sio huyo mwanandoa kwakuwa wapo wengi wa kaliba yake wenye hizo tabia lakini wanafanya kwa kificho sana.

Kilichonistua na kunisononesha sana ni mosi.. USHOGA Tanzania kuenea kwenye mikoa mingine ukiachana ile ya mwambao ama inayopakana na mwambao.... In this case MWANZA.

Pili ni uthubutu wa vijana wadogo kabisa wa kiume wakijinasibu kujitangaza na kujinadi kuwa wao ni mashoga na wana magroup mitandaoni yenye majina yanayotambulisha upuuzi wao huo.... Tunaipeleka wapi hii nchi?

Kiasili USHOGA una viasili na pwani... Unajua ni kwanini? Miji ya pwani wakazi wake kwa sehemu kubwa sio watu wa kazi ngumu... Hii ni kwa sababu kila kitu wanakipata kwa urahisi na unafuu. Wengi wakijishughulisha na uvuvi, uvunaji wa nazi, bustani za mboga mboga na shughuli nyingi zisizohitaji nguvu nyingi

Mwili ukipata kila kitu na ukakosa changamoto na kazi za kuchosha mwili.. Vitamin na protein za ziada hutafuta mahali pa kutumika.... Sehemu nyingi za mwambao kuna ubwanyenye, umwinyi na utwana... Huku ndio USHOGA ulizaliwa na kuenezwa ama kusambazwa taratibu sehemu nyingine za nchi.ILIKUWAJE HAPA? Nachelea kuuhusisha na wageni waliotoka mataifa ya kiarabu kwa sababu za kiimani

Kwa hiyo miaka nenda miaka rudi. USHOGA Tanzania umetanabahishwa na ukanda wa mwambao.... Hii yote inatokana na kazi za nguvu na ngumu wanazofanya wale ambao si wa mwambao... Wakijulikana kama wagumu ama wanaume wa shoka nk

Mshtuko unakuja unapoona mikoa isiyodhaniwa kuwa na tabia hizi hovyo ndio sasa kinara kuna mpaka makundi ya vijana wanahamasishana... Hakuna kuchekana tena... Hakuna ugumu tena.. Wote sasa ni mchelemchele na ngangaripoa. Tofauti ni moja.... Wa pwani ni wazuri wasafi na wanajua kujiremba na kuvaa huku wa huko kwingine mikoani. MWANZA ni wachafu, sura ngumu na wachafu kabisa
 
La kushangaa ni kwamba sijawahi kumwona shoga kwa macho ila huwa nawaona tu picha zao kwenye simu yangu. Cha kushangaza zaidi ni kuwa kuna watu huku hicho kitu hawakijui kabisa hata ukiwaelezea basi utaonekana muongo gred ya taifa
 
The way ulivyotaja ushoga na asili yake mtu anaweza kuamini kwamba ushoga umeanzia Tanzania, na ndipo ukaenea sehemu zingine duniani!!! Je, na kwa nchi zingine ushoga na wenyewe ulianzia maeneo ya pwani ndo ukasambaa bara au na kwenyewe ulianzia pwani ya Tanzania ndo ukahamia huko? Halafu hii dhana ya kwamba watu wa pwani ni wavivu sijui mmeipata wapi manake hata kimaisha wala hatuoni tofauti kati ya hao wavivu wa pwani na wapiga kazi wa bara! The problem mnasahau it's all about labor specialization! Kama mnadhani kukimbizana na ng'ombe maporini ndo ukakamavu basi mtaendelea kuamini hivyo hivyo kwamba watu wa pwani ni wavivu kwa sababu there's no way mtakuta wakifukazana na ng'ombe maporini manake sio sehemu ya kazi zao! Chukueni Wamasai wanaopambana msituni na simba halafu waambie wakakeshe baharini kuvua samaki kama wataweza!!! Sasa mtu anaingia dago usiku kucha wa baridi kali huku akipambana na mawimbi halafu kesho mchana umkute kwenye bao useme ni mvivu!!

Mnachekesha sana!!

Ujinga mwingine ni pale mnapohusiha watu wa bara na uchezaji wa bao! Yaani kwavile watu wa bara wanatumia muda wao ziada kwenye maulevi ya pombe za kienyeji, nyie kwenu huo ndio ukakamavu lakini yule anayetumia muda wake wa ziada kwenye bao, huyo ni mvivu huku mkisahau hiyo ni namna yao tu ya ku-relax!!

Kumaliza mjadala, hebu tuletee takwimu za miaka 10 kuangalia mikoa iliyokumbwa na baa njaa ili tuone kama kila mwaka ni mikoa ya pwani ndiyo inayokumbwa na hilo tatizo ili tujiridhidhe kwamba huwa kila mwaka wao tu wanakumbwa na njaa kwa sababu ni uvivu wao!

Btw, hivi hizi pwani mnazozitolea mifano ni pwani zipi manake wengi wenu uzoefu wenu ni kwenye miji ya pwani ambayo there's no way kwamba utakuta mashamba kisha muweze kuwahukumu kwamba ni wavivu kwa sababu hawataki kulima! Ni mtu wa ajabu tu ndie atatarajia afike mahali kama Zanzibar au Tanga kisha aone watu wanakokota punda waliobeba viroba vya mahindi!!
 
The way ulivyotaja ushoga na asili yake mtu anaweza kuamini kwamba ushoga umeanzia Tanzania, na ndipo ukaenea sehemu zingine duniani!!! Je, na kwa nchi zingine ushoga na wenyewe ulianzia maeneo ya pwani ndo ukasambaa bara au na kwenyewe ulianzia pwani ya Tanzania ndo ukahamia huko? Halafu hii dhana ya kwamba watu wa pwani ni wavivu sijui mmeipata wapi manake hata kimaisha wala hatuoni tofauti kati ya hao wavivu wa pwani na wapiga kazi wa bara! The problem mnasahau it's all about labor specialization! Kama mnadhani kukimbizana na ng'ombe maporini ndo ukakamavu basi mtaendelea kuamini hivyo hivyo kwamba watu wa pwani ni wavivu kwa sababu there's no way mtakuta wakifukazana na ng'ombe maporini manake sio sehemu ya kazi zao! Chukueni Wamasai wanaopambana msituni na simba halafu waambie wakakeshe baharini kuvua samaki kama wataweza!!! Sasa mtu anaingia dago usiku kucha wa baridi kali huku akipambana na mawimbi halafu kesho mchana umkute kwenye bao useme ni mvivu!!

Mnachekesha sana!!

Ujinga mwingine ni pale mnapohusiha watu wa bara na uchezaji wa bao! Yaani kwavile watu wa bara wanatumia muda wao ziada kwenye maulevi ya pombe za kienyeji, nyie kwenu huo ndio ukakamavu lakini yule anayetumia muda wake wa ziada kwenye bao, huyo ni mvivu huku mkisahau hiyo ni namna yao tu ya ku-relax!!

Kumaliza mjadala, hebu tuletee takwimu za miaka 10 kuangalia mikoa iliyokumbwa na baa njaa ili tuone kama kila mwaka ni mikoa ya pwani ndiyo inayokumbwa na hilo tatizo kutokana na uvivu wao!!

Btw, hivi hizi pwani mnazozitolea mifano ni pwani zipi manake wengi wenu uzoefu wenu ni kwenye miji ya pwani ambayo there's no way kwamba utakuta mashamba kisha muweze kuwahukumu kwamba ni wavivu kwa sababu hawataki kulima! Ni mtu wa ajabu tu ndie atatarajia afike mahali kama Zanzibar au Tanga kisha aone watu wanakokota punda waliobeba viroba vya mahindi!!
Kumaliza mjadala, hebu tuletee takwimu za miaka 10 kuangalia mikoa iliyokumbwa na baa njaa ili tuone kama kila mwaka ni mikoa ya pwani ndiyo inayokumbwa na hilo tatizo kutokana na uvivu wao!! Kisu kimegusa mfupa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom