Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,929
- 7,272
Pole. Yanga haikufai.aaah acha Yanga iniue, sihamii
Pole. Yanga haikufai.aaah acha Yanga iniue, sihamii
Niliona ni mute 🔇 👌tangu tumechukua ubingwa ukapotea sijakuona, pole hahaaa
Sa ivi tutawanyoosha, ngojatangu tumechukua ubingwa ukapotea sijakuona, pole hahaaa
Hata kipindi kile ulisema hivi hivi😂Sa ivi tutawanyoosha, ngoja
Ayo yoote uliyo ainisha apo ndio Makombe ya Simba na tunawapongeza , sisi Yanga furaha yetu ni kuendelea kuomba Mungu tufike tarehe 13/08/2022 salama. Siku iyo ndio tunaanza kuchukua taji la kwanza katika msimu wa 2022/2023.