Sababu 5 CCM Kushinda Uchaguzi 2015

Sababu 5 CCM Kushinda Uchaguzi 2015

katika utafiti niliofanya nimegundua kuwa ccm ni chama imara na chenye nguvu nchini kuliko vyama vyote vya siasa nchini.
1.ni chama chenye wana chama wengi na hai kuliko vyama vyote vya siasa
2.ni chama chenye kuwajali wananchi wote.
3.ni chama chenye viongozi imara na weledi wa mambo kama raisi kikwete.
4.ni chama ambacho kimelitoa taifa hili mbali.
5.ni chama ambacho wananchi watamani kiendelee kuwaongoza.
6. pia ni chama ambacho kimekuwa na mahusiano mazuri na nchi za nje.
haya ni mambo machache katika utafiti niliyo ufanya kwahiyo naomba mkubaliane nami kuwa ccm ni chama watanzania walio wengi.
:heh: ccm oyeee kubali usikubali :heh: ccm oyeeeeeeeeee
 
katika utafiti niliofanya nimegundua kuwa ccm ni chama imara na chenye nguvu nchini kuliko vyama vyote vya siasa nchini.
1.ni chama chenye wana chama wengi na hai kuliko vyama vyote vya siasa
2.ni chama chenye kuwajali wananchi wote.
3.ni chama chenye viongozi imara na weledi wa mambo kama raisi kikwete.
4.ni chama ambacho kimelitoa taifa hili mbali.
5.ni chama ambacho wananchi watamani kiendelee kuwaongoza.
6. pia ni chama ambacho kimekuwa na mahusiano mazuri na nchi za nje.
haya ni mambo machache katika utafiti niliyo ufanya kwahiyo naomba mkubaliane nami kuwa ccm ni chama watanzania walio wengi.
:heh: ccm oyeee kubali usikubali :heh: ccm oyeeeeeeeeee



Kama machifu wana akili mgando kama wewe,nina wasiwasi na familia yako,mawazo finyu na nina imani ni mmoja wa waliorekebishiwa matokeo na tume ndio wana akili kama yako,wamefeli halafu wakarekebishiwa matokeo ndio wana akili kama hizi
 
Tafadhali pitia Historia fupi ya CHADEMA=Chama hiki kilianza tarehe
26-1-1993,
MWAKA 1995 kilishinda Wabunge 4 na Madiwani 42, Mwaka 2000 kilishinda Wabunge 5 na madiwani 75, Mwaka 2005 kilishinda Wabunge 11 na madiwani 103, Mwaka 2010 kilishinda Wabunge 48 na Madiwani 467. JE, ITAKUWAJE MWAKA 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhimu sana ili kufanikisha CHADEMA kushika Dola, Changia iikomboe Tanzania, "MAKAMANDA 6" TU.
 
Tafadhali pitia Historia fupi ya CHADEMA=Chama hiki kilianza tarehe
26-1-1993,
MWAKA 1995 kilishinda Wabunge 4 na Madiwani 42, Mwaka 2000 kilishinda Wabunge 5 na madiwani 75, Mwaka 2005 kilishinda Wabunge 11 na madiwani 103, Mwaka 2010 kilishinda Wabunge 48 na Madiwani 467. JE, ITAKUWAJE MWAKA 2015 kama si kwenda IKULU? Mchango wako ni muhimu sana ili kufanikisha CHADEMA kushika Dola, Changia iikomboe Tanzania, "MAKAMANDA 6" TU.

Ikulu sio sawa na kata/jimbo... Ni bora ungejikita kwenye kura za urais
 
Ndugu zangu ni vizuri kuambiana mambo ya msingi haswa linapokuja swala la hatma ya Taifa letu.
Tanzania ni nchi ya kipekee duniani na watu wake ni wa kipekee pia, utu wetu , utanzania wetu huwezi pata sehemu nyingine. Watanzania ni watu wenye upendo, amani na mshikamano huwezi linganisha na nchi yoyote ile. Tumekuwa tukiishi siku zote kwa amani, kupendana na kushirikiana kabla na hata baada ya kuasisiwa taifa letu. Lakini baada ya kuingia siasa za upinzani nchini mwetu , kumekuwa na fikra zenye kuhatarisha amani yetu. Hatukatai upinzani, ndio maana kumekuwa na vyama vingi vya siasa nchini Tanzania. lakini kamwe hatutaruhusu amani yetu kupotea na siasa za kutubagua. Hadi hapa, Amani na maendeleo yaliyopoTanzania yametokana na uongozi wa chama cha mapinduzi. Kuanzia kwa wazee wetu waasisi, na viongozi wetu wakiongozwa na Mwenyekiti wetu, Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Kwa siasa safi na uongozi makini, Sina budi kuzitaja sababu 5 kwa nini chama cha mapinduzi kitashinda uchaguzi wa 2015.

Moja; CCM imeweza kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchi yetu na raia wake.
Muhimu kwa watanzania wote kukumbuka kwamba chama cha mapinduzi hakina udini wala ukabila kwa misingi hiyo kimeweza kudumisha amani na umoja wa nchi yetu.

Mbili; CCM imekuwa ya kwanza katika ushirikishwaji wa watanzania wote walio nje ya nchi katika kutoa mchango wao ili kuleta tija na maendeleo ya taifa letu.

Tatu; CCM imehakikisha kwamba Nchi yetu inatawaliwa kwa misingi ya kidemokrasia. Nchini Tanzania kuna demokrasia ya kutosha na hata kupitiliza. Mwananchi yoyote anao uhuru wa kuishi, kuabudu na kufanya maamuzi apendayo ili mradi sheria za nchi zinazingatiwa.

Nne; CCM haina ubaguzi, kila mtu anayo nafasi. Chama cha mapinduzi siku zote kimekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba Serikali na vyombo vyote vya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwa raia wote, wanawake na wanaume bila kujali rangi, kabila, Dini, au hali ya mtu.

Tano; CCM iko mstari wa mbele katika kuimarisha uhusiano mwema na Vyama vyote vya Siasa vya Nchi nyingine vyenye itikadi kama ya CCM ambavyo kweli vinapinga Ukoloni, Ukoloni Mamboleo, Ubeberu na Ubaguzi wa aina yoyote.

View attachment 70958
Source: Vijimambo

hivi ana ekti au anajifanya
 
Ndugu zangu ni vizuri kuambiana mambo ya msingi haswa linapokuja swala la hatma ya Taifa letu.
Tanzania ni nchi ya kipekee duniani na watu wake ni wa kipekee pia, utu wetu , utanzania wetu huwezi pata sehemu nyingine. Watanzania ni watu wenye upendo, amani na mshikamano huwezi linganisha na nchi yoyote ile. Tumekuwa tukiishi siku zote kwa amani, kupendana na kushirikiana kabla na hata baada ya kuasisiwa taifa letu. Lakini baada ya kuingia siasa za upinzani nchini mwetu , kumekuwa na fikra zenye kuhatarisha amani yetu. Hatukatai upinzani, ndio maana kumekuwa na vyama vingi vya siasa nchini Tanzania. lakini kamwe hatutaruhusu amani yetu kupotea na siasa za kutubagua. Hadi hapa, Amani na maendeleo yaliyopoTanzania yametokana na uongozi wa chama cha mapinduzi. Kuanzia kwa wazee wetu waasisi, na viongozi wetu wakiongozwa na Mwenyekiti wetu, Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Kwa siasa safi na uongozi makini, Sina budi kuzitaja sababu 5 kwa nini chama cha mapinduzi kitashinda uchaguzi wa 2015.

Moja; CCM imeweza kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchi yetu na raia wake.
Muhimu kwa watanzania wote kukumbuka kwamba chama cha mapinduzi hakina udini wala ukabila kwa misingi hiyo kimeweza kudumisha amani na umoja wa nchi yetu.

Mbili; CCM imekuwa ya kwanza katika ushirikishwaji wa watanzania wote walio nje ya nchi katika kutoa mchango wao ili kuleta tija na maendeleo ya taifa letu.

Tatu; CCM imehakikisha kwamba Nchi yetu inatawaliwa kwa misingi ya kidemokrasia. Nchini Tanzania kuna demokrasia ya kutosha na hata kupitiliza. Mwananchi yoyote anao uhuru wa kuishi, kuabudu na kufanya maamuzi apendayo ili mradi sheria za nchi zinazingatiwa.

Nne; CCM haina ubaguzi, kila mtu anayo nafasi. Chama cha mapinduzi siku zote kimekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba Serikali na vyombo vyote vya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwa raia wote, wanawake na wanaume bila kujali rangi, kabila, Dini, au hali ya mtu.

Tano; CCM iko mstari wa mbele katika kuimarisha uhusiano mwema na Vyama vyote vya Siasa vya Nchi nyingine vyenye itikadi kama ya CCM ambavyo kweli vinapinga Ukoloni, Ukoloni Mamboleo, Ubeberu na Ubaguzi wa aina yoyote.

View attachment 70958
Source: Vijimambo


Sababu Nyingine ni sababu ya SIFA za UDIKTETA wa CHAMA CHA CCM

i] kuvuruga nchi kiusalama kwa kugawa biashara za kigaidi kama MADAWA ya kulevya na inawahusu wanajamii wengi nchini hadi kona zote za serikali

ii] kuvuruga na kuwalinda wachochezi wa chuki ndani ya nchi kwa kupewa silaha na ulinzi wa kutosha kuendeleza chuki zao na pesa kama vile MWIGULU NCHEMBA na NAPE NNAUYE

iii] kuendelea na kuasimamisha kutafuta AJIRA kwa Wananchi walio wengi na kuendelea kutoa lawama; na kuwapa Mabeberu Malighafi na ajira sekta zote Muhimu nchini

iv] kuwahonga wananchi pesa ili tu waendelee kuipigia ngonjera chama tawala bila wao kujua mantiki ya hao viongozi
 
Ndugu zangu ni vizuri kuambiana mambo ya msingi haswa linapokuja swala la hatma ya Taifa letu.
Tanzania ni nchi ya kipekee duniani na watu wake ni wa kipekee pia, utu wetu , utanzania wetu huwezi pata sehemu nyingine. Watanzania ni watu wenye upendo, amani na mshikamano huwezi linganisha na nchi yoyote ile. Tumekuwa tukiishi siku zote kwa amani, kupendana na kushirikiana kabla na hata baada ya kuasisiwa taifa letu. Lakini baada ya kuingia siasa za upinzani nchini mwetu , kumekuwa na fikra zenye kuhatarisha amani yetu. Hatukatai upinzani, ndio maana kumekuwa na vyama vingi vya siasa nchini Tanzania. lakini kamwe hatutaruhusu amani yetu kupotea na siasa za kutubagua. Hadi hapa, Amani na maendeleo yaliyopoTanzania yametokana na uongozi wa chama cha mapinduzi. Kuanzia kwa wazee wetu waasisi, na viongozi wetu wakiongozwa na Mwenyekiti wetu, Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Kwa siasa safi na uongozi makini, Sina budi kuzitaja sababu 5 kwa nini chama cha mapinduzi kitashinda uchaguzi wa 2015.

Moja; CCM imeweza kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchi yetu na raia wake.
Muhimu kwa watanzania wote kukumbuka kwamba chama cha mapinduzi hakina udini wala ukabila kwa misingi hiyo kimeweza kudumisha amani na umoja wa nchi yetu.

Mbili; CCM imekuwa ya kwanza katika ushirikishwaji wa watanzania wote walio nje ya nchi katika kutoa mchango wao ili kuleta tija na maendeleo ya taifa letu.

Tatu; CCM imehakikisha kwamba Nchi yetu inatawaliwa kwa misingi ya kidemokrasia. Nchini Tanzania kuna demokrasia ya kutosha na hata kupitiliza. Mwananchi yoyote anao uhuru wa kuishi, kuabudu na kufanya maamuzi apendayo ili mradi sheria za nchi zinazingatiwa.

Nne; CCM haina ubaguzi, kila mtu anayo nafasi. Chama cha mapinduzi siku zote kimekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba Serikali na vyombo vyote vya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwa raia wote, wanawake na wanaume bila kujali rangi, kabila, Dini, au hali ya mtu.

Tano; CCM iko mstari wa mbele katika kuimarisha uhusiano mwema na Vyama vyote vya Siasa vya Nchi nyingine vyenye itikadi kama ya CCM ambavyo kweli vinapinga Ukoloni, Ukoloni Mamboleo, Ubeberu na Ubaguzi wa aina yoyote.

View attachment 70958
Source: Vijimambo


Wizi wa kura hujaiweka mbona?
 
Eeh! Mkuu umesahau moja ya kufungia thread yakao.
..CCM ndio chama pekee kilichoota magamba na kilipojaribu kuyavua kikagundua kwamba magamba yatatoka na ngozi, kwa hiyo kwa hekima na busara za CCM magamba yakaachwa yaendelee kukomaa maana kuna siku yatapukutika yenyewe. KIGUMU CHAMA CHA MA..........!!!!!
 
mambo 5 mengine ni 1;kuua viwanda vyetu 2:kufunga mikataba ya kinyonyaji 3.kuchochea udini 4.mauaji ya raia 5.umaskini
 
wimbo ya kwamba ccm imeleta amani sijui na nini haufai kwa sasa. kilichopo ni utamaduni wa watanzania walio wengi kupenda amani. kwa ujumla wengi wa watanzania ni watu wa amani. ndivyo walivyo. si jambo jema akatokea mtu na kusema eti ni cham fulani ndicho kinahusika naa amani hii. ni miaka 21 tangu vyama vingi vianzishwe. muda huu ungetosha kabisa kuondoa amani lakini haikuwa hivo kwa sababu mioyo ya watanzania ni ya amani, labda tuwahusishe pia viongozi wa dini kwa kuhubiri amani.
 
We mwenyew unaonekana mwanasiasa hizo sababu tano au sita!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tanzania hakuna chama cha Upinzani ila bali ni vyama vya kidini wewe Christian Democratic Movement aka Chadomo.Chini ya katibu wa baraza la Maaskofu padri mla vya watu Slaa.Mkishika hii nchi ujue yesu karudi

:thumbdown:
 
mi naona sababu kubwa zipo tatu 1.umasikini 2.ujinga 3.vijana wengi kushindwa kufikiri na kujua hatma ya nchi yao kutokana na kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya.
 
kama ccm itashinda sababu kubwa zipo tatu 1.umasikini wa raia2.ujinga 3.vijana wengi kushindwa kufikiri na kujua hatma ya nchi yao kutokana na kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya.
 
Ndugu zangu ni vizuri kuambiana mambo ya msingi haswa linapokuja swala la hatma ya Taifa letu.
Tanzania ni nchi ya kipekee duniani na watu wake ni wa kipekee pia, utu wetu , utanzania wetu huwezi pata sehemu nyingine. Watanzania ni watu wenye upendo, amani na mshikamano huwezi linganisha na nchi yoyote ile. Tumekuwa tukiishi siku zote kwa amani, kupendana na kushirikiana kabla na hata baada ya kuasisiwa taifa letu. Lakini baada ya kuingia siasa za upinzani nchini mwetu , kumekuwa na fikra zenye kuhatarisha amani yetu. Hatukatai upinzani, ndio maana kumekuwa na vyama vingi vya siasa nchini Tanzania. lakini kamwe hatutaruhusu amani yetu kupotea na siasa za kutubagua. Hadi hapa, Amani na maendeleo yaliyopoTanzania yametokana na uongozi wa chama cha mapinduzi. Kuanzia kwa wazee wetu waasisi, na viongozi wetu wakiongozwa na Mwenyekiti wetu, Rais wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Kwa siasa safi na uongozi makini, Sina budi kuzitaja sababu 5 kwa nini chama cha mapinduzi kitashinda uchaguzi wa 2015.

Moja; CCM imeweza kulinda na kudumisha Uhuru wa Nchi yetu na raia wake.
Muhimu kwa watanzania wote kukumbuka kwamba chama cha mapinduzi hakina udini wala ukabila kwa misingi hiyo kimeweza kudumisha amani na umoja wa nchi yetu.

Mbili; CCM imekuwa ya kwanza katika ushirikishwaji wa watanzania wote walio nje ya nchi katika kutoa mchango wao ili kuleta tija na maendeleo ya taifa letu.

Tatu; CCM imehakikisha kwamba Nchi yetu inatawaliwa kwa misingi ya kidemokrasia. Nchini Tanzania kuna demokrasia ya kutosha na hata kupitiliza. Mwananchi yoyote anao uhuru wa kuishi, kuabudu na kufanya maamuzi apendayo ili mradi sheria za nchi zinazingatiwa.

Nne; CCM haina ubaguzi, kila mtu anayo nafasi. Chama cha mapinduzi siku zote kimekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kwamba Serikali na vyombo vyote vya umma vinatoa nafasi zilizo sawa kwa raia wote, wanawake na wanaume bila kujali rangi, kabila, Dini, au hali ya mtu.

Tano; CCM iko mstari wa mbele katika kuimarisha uhusiano mwema na Vyama vyote vya Siasa vya Nchi nyingine vyenye itikadi kama ya CCM ambavyo kweli vinapinga Ukoloni, Ukoloni Mamboleo, Ubeberu na Ubaguzi wa aina yoyote.

View attachment 70958
Source: Vijimambo
kidumu chama cha mapinduzi. ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!! utaisoma tu hata kimoyo moyo hata kama hupendi.
 
Back
Top Bottom