Sababu 5 CCM Kushinda Uchaguzi 2015

Sababu 5 CCM Kushinda Uchaguzi 2015

Tatizo kubwa ninaloliona kwa mashabiki na wanachama karibia wote wa CCM ni kua hawataki kukubali ukweli kuhusu mapungufu ya chama chao pamoja na serikali..kwani hayo yote uliyoyaelezea ndio machache kati ya matatizo mliyokua nayo na ndio yanayofanya chama chenu kushuka umaarufu kila kukicha..kwakua vyama vya upinzani makini hasa CDM vinayajua hayo na vinajua ni jinsi gani wanaweza kuyatumia mapungufu yenu kujipatia umaarufu....
 
Usidhani ccm itashinda kirahisi kiasi hicho,wananchi wengi wanataka mabadiliko wamechoka na ahadi hewa za kila siku
 
tanzania hakuna chama cha upinzani ila bali ni vyama vya kidini wewe christian democratic movement aka chadomo.chini ya katibu wa baraza la maaskofu padri mla vya watu slaa.mkishika hii nchi ujue yesu karudi
umesahau kuwa hakuna tume huru ya uchaguzi, kosa hilo halitarudiwa tena.
 
time will tel! kwa sasa wananchi tumeamka na m4c imetupa elimu ya uraia tupo tayari kulinda kura zetu hatuogopi kuuliwa na mabomu, jipangeni jinsi ya kuiba kura maana tumejipanga kulinda.




Kama mambo yakienda yaendavyo na kama Mungu akiniweka hai, nina hakika nitashuhudia Rais wa JMT awamu ya 5 akiapishwa kutoka Chama cha Mapinduzi mwaka 2015.
 
Back
Top Bottom