Mkuu Boflo,
Hapa nadhani utakuwa unakosea...unachanganya kati ya WAJIBU wa Serikali na "Siasa/mtazamo binafsi"
Hoja namba moja, tatu na nne (1,3,4) zinafanana tofauti ni kiuandishi TU!!Lakini bado katika hoja hiyo MOJA kuna mapungufu mengi.
-Ni uhuru gani unaouongelea? wa bendera?
-"Walio nje"..A great country utilize what she has, mkuu! Hebu tathmini ni watanzania wangapi walio ndani ya nchi na wale walio nje? Unataka kusema waliondani hawafai, au hawana mwamko na chachu ya maendeleo kuliko wale wa nje?..Sawa, "imewashirikisha walio nje", kina nani hao, kwa mfano? So, far wamefanya nini katika maendeleo ya Taifa(sio CCM)?
"CCM HAKINA UBAGUZI KILA MTU ANAYO NAFASI"
Mkuu katika hili utakuwa si mfatiliaji wa siasa au ni mfatiliaji uliyeanza hivyi karibuni(amateur) na kama siyo haya basi hutaki tu kwa sababu zako ingawa ukweli unaujua...Nikukumbushe, Hivi ni viongozi wa Chama gani waliokubuhu katika kutoa rushwa ili kupata nafasi ndani ya chama?..Kumbuka kule Dodoma, Pale Mwenyekiti wa CCM Taifa(Mh.JM Kikwete) kukubali kuna rushwa ndani ya chama hasa katika uongozi,tena BILA KUCHUKUA HATUA!!..zaidi ni pale aliposema wakiwapatia fedha/rushwa CHUKUENI!!Huyu ni kiongozi?
Something must be wrong with one's mind to convice kuwa CCM inafaa...it can be true, but not in this life time, mkuu.