sababu 3 za kuichukia chadema

Kadamfu

Senior Member
Nov 18, 2011
117
31
najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.
 
Mkuu ktk hiki ulichoongea hakuna mashiko kabisa, infact am not one of cdm followers nor ccm lkn hapa hapana!
 
Unataka umaarufu wa KIJINGA eeh! hapa sio mahala pake nenda kaandike UHARO huu fb wew kuku
 
sina nia ya kumshawishi m2,ctaki umaarufu ila naandika kile ninachokiamini ktk kweli mi co mwanachama wa chama chochote kile BUT UKWELI UWE MCHUNGU KUUMEZA ,MTAMU KUUTOA
 
Mh! Kuna watu kutwa kuchwa mnawaza udini! Waislam wanachukiwa n.k. Ndugu zangu mna kazi!
 
najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.


Kadamfu, nakuhakikishia kwamba nitakutafutia dawa ili upone maradhi yako ya kichwa yanayokusumbua, maana haipendezi ndugu yetu wa damu uwe na mawazo mgando kiasi hiki.
 
Mkuu, wakati mwingine hata kutukanwa na kubezwa mnajitafutia wenyewe; au labda nayo ni njia ya kujitafutia umaarufu?!

Hayo mambo uliyoyaeleza hapo hakuna jipya hata moja, yote yameshaletwa hapa jamvini yakajadiliwa, yakazungumzwa mpaka watu wakayachoka, sasa wewe ndo unaibuka nayo leo utafikiri ni mambo mapya vile! Ukitukanwa unasema umeonewa.
 
Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?

Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
 
najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.

Huna sababu yoyote ya maana ya kuichukia CAHDEMA zaidi ya kuwa fisadi au mtu ambaye unaneemeka kupitia migongo ya mafisadi. Mtu mwenye mapenzi ya kweli na Tanzania kamwe hawezi kuichukia CHADEMA.
 

Huna sababu yoyote ya maana ya kuichukia CAHDEMA zaidi ya kuwa fisadi au mtu ambaye unaneemeka kupitia migongo ya mafisadi. Mtu mwenye mapenzi ya kweli na Tanzania kamwe hawezi kuichukia CHADEMA.
Mbona chadema wenyewe hawawapendi watanzania kwa kuwaongezea mzigo wa wabunge wa kuteuliwa ambao ni ndugu/marafiki na mademu zao! Nalog off
 
Hii ndiyo hoja? Akutukane nani wakati umejitukana mwenyewe?
Angalau umekiri kuwa WENGI "watakutukana" which means unconsciously unakiri watu wengi wana uelewa.


najua watakasirika wengi watanuna wengi watanitukana wengi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli 1:UDINI hii ya udini iko kwa kila m2 hata mbuzi analijua .naye mh zito alishawahi kusema kusema kwamba udini ulitumika sana ktk kutafuta uongozi ndani ya cdm.PIA ni chuki yao ya wazi dhidi ya uislamu na waislam[wanawachukia kikwete na mwinyi ,wanawapenda mkapa na julius] 2:UMAARUFU WA KIJINGA.hili la umaarufu limejionyesha dhahili kwa lêma kwa kitendo kujiweka gerezani kisha kutaka kulazimisha mahakama imtoe kwa nguvu[ujinga].PIA kama mtakumbuka cdm wålishawahi kuandamana kulazimisha bei ya sukari ipungue{wakati ule ilikuwa sh 2000}haikupungua .sasa bèi ya sukari 2500/=hawaandamani{wamepewa 10%} 3:HAKUNA DEMOKRASIA.hii ni pale m/kiti alipomtisha zito kwamba aondoe fomu ili mbowe acpate mpinzani. TO BE CONTINUED. Naomba kutoa HOJA.
 
Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?

Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
Akili kwenye ubwabwa tu!
 
sina nia ya kumshawishi m2,ctaki umaarufu ila naandika kile ninachokiamini ktk kweli mi co mwanachama wa chama chochote kile BUT UKWELI UWE MCHUNGU KUUMEZA ,MTAMU KUUTOA

Kama hayo ndio ukweli unaoufahamu we ni mgonjwa usiyetibika hata india,hebu tumia akili na muda wako kufanya kauchunguzi kadogo acha kukurupuka jua huongei na vilaza wala wazee wa DSM na kama umetumwa kawaambie hatudanganyiki mjinga nkubwa
 
Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?

Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
attachment.php
 
loh! loh! ...ndio maana wengi wanaomba muungano uendelee!!!
Ulionena ni ukweli mtupu na utwaona humu sasa hivi wataanza kupinga bila ufahamu. Hilo l udini linajulikana sana kwani tumesahau Sumbawanga?

Umewashika pazuri, la Zitto na Mwenyekiti halina ujanja mpaka humu wanalijuwa sana, tena turufu kubwa ya Magwanda ni Zitto na wanafanya kila hila kumchokonowa, hivi wanafikiri bila Zitto wangeupata umaarufu waliokuwa nao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom