Mi nimesoma pure mathematics mkuu, cramming kwangu ni upuuzi japo naweza..hawana lolote ni average people kabisa.labda wa marekani na ulaya kidogo wanawafilter vizuri siyo kifisadi na mitihani isiyo na standard mwaka hadi mwaka, mara waibe mara nini. Nawajua kibao tu walikuwa mambumbumbu darasani slow thinkers sasa madaktari.
Katibiwe uraya ama marekani