Sidhani Kama uno serious hapa hili naona Kama shairi vileMadaktari wengi mabitozi halafu wana mapozi...
watoto wao gozigozi, vikojozi.......
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.
2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..
Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.
2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..
Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list