Sababu 10 za kuwachukia madaktari

Ongeza 11, pia wana laana. wengi wao wanatembea na watoto wa kike F2,3,4 6 hadi chuo kikuuu baada ya kuwapa msaada wa kutoa mimba. watoto wao wamekuwa mataahira na wake zao hawazai kwa 7bu ya laana.
 
Namba 6, 7 na 9 inaonyesha ni jinsi gani hata wewe umekurupuka, bila kufikiria ukatoa hoja za namna hiyo!
 
Roho inakuuma ndugu yangu. Kwa taarifa yako km huko vizuri kichwani huwezi ukasoma Medicine! Wewe na sanaa yako unataka kusema ni zaidi ya udaktari!
 
You will never be a doc (md) ina your life it is for the choosen one ,ndio maana wanasoma miaka mingi na huku wakijua mshahara ni mdogo fyi kama muhimbili cream ya pcb ndo wanasoma pale dnt compare co. Amo and md kuendelea ,try me nenda imtu ukapate huo udaktari wa bure kama haujakimbia, acha wivu wa kike
 
Wapo madactari wana utu sana jamani tusiwakatishe tamaa alafu chunguza sana hao wanaokukwaza mora nyingi utakuta sio ma dr ni hao ma clinical na manesi uchwara
 
mkuu naona unachuki binafsi na madakatari,hawa watu ni muhimu sana katika jamii pamoja na mapungufu machache katika baadhi yao,hivyo tunapaswa kuwaheshimu na kuwatia moyo,thread yaki ni yakipuuzi na haijengi
 
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.

2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..

Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list

NAUNGA MKONO HOJA. Nina uchumgu nao hao MAPIMBI. Walimuua ndugu yangu kwa uzembe wao wa kijinga wa kupenda rushwa ndogondogo, roho imeniuma hadi leo hii. Ninaposikia neno daktari UCHWARA nahisi KICHEFUCHEFU ingawa wapo wachache wenye WITO.
 
Fani ya udaktari ipo tangu zama za kale kama zilivo fani nyingine kama uandisi au uanasheria au utoza ushuru..lakini nina sababu zangu personal kabisa zakinifanya kuwachukia madaktari specifically,
1. Wanahisi wana akili kuliko kila mtu. Uchinguzi unaoneasha kuwa, asilima karibu 95% ya binadamu waliopimwa na kuonekana na IQ kubwa hawaipendi wala hawaitukuzi hiyo fani. Slow thinkers.

2. Ni watu wazembe sana kimaisha. Ni fani ya watu wasio na uwezo wakuhustle. Yani wazembewazembe kutafuta.
3. Wanajiona kama miungu watu kisa wananyenyekewa na watu desperate wenye matatizo.
4. Wanategemea hela kutoka kwa watu wasio na uelewa, na maskini.
5. Wanapenda kuonekana wanafanya kazi ya tabu sana wakati walitaka wenyewe na wamesoma taratibu za utabibu.
6. Wengi ni average katika kila nyanja ya maisha..walifeli form 6 wakaenda urusi au imtu au kcmc au vichochoroni, wengine hata form 4 walifeli wakawa maclinical officers baadae wakajiendeleza wakawa ma md..mabwege wote hao..
7. Washamba
8. Wanalewa sifa za kijinga..wanaona dili kuvaa mikoti yao myeupe, kunyenyekewa..
9. Waigizaji
10. Hawatambui kuwa kazi yao ni wito..daktari wakweli anajitoa na kamwe haweki pesa mbele. Daktari wa kweli anauwaza utu wa binadamu na huduma yake ni ibada mbele ya Mungu ni mission. sasa mapimbi weru wa sikuizi dunianiii..

Mwisho napenda kuwaambia wadau wote kuwa, Dunia ilivyo kwa sasa hatuna madaktari, siyo tanzania wala marekani wala uropa, ni fani ya kishamba wanaosoma watu wasioweza kusurvive dunia ya kweli..na nitakapoumwa, nitajitibu, ikishindikana, nitaexpire kwenda ulimwengu mpya...wengine ongezeni list

wewe hujui ulichoandika eti ukiumwa utajitibu! si rahis hivyo kijana
 
Huu ni uonevu mtupu. Daktari na mwalimu ndio taaluma pekee ambazo zinatoa huduma kwa jamii. Na tena ndio taaluma zinazopelekea mtu kufa maskini na vyeti vyenye sifa..

Umeshaangalia lawyers wewe? Walivyo wezi! Wanavuna tu na wamejenga ghorofa za ajabu jiji zima. Hebu chukua mifano ya advocates maarufu hapa mjini na maisha wanayoishi, linganisha na daktari maarufu na utuambie nani ni nani. Anzia kwa dr fernandes masau aliekuwa daktari bingwa wa moyo.
 
Back
Top Bottom