Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,350
- 13,879
kama mimi mkuu nimeishia pale kwa nyumba ya wagogoMkuu inalolisema ni kweli.baada ya kulipia kule nje nikajisogeza kwenye banda la maliasili kujionea kinachoendelea nilipoona lango la kuelekea banda la wanyama walio hai nikaambiwa lazima nilipie tena mweeee nikaishia kwenye nyumba za wagogo kisha huyooo kwa mrisho mpoto.
