Tojo
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,810
- 3,087
Tuko pamoja mkuu,Ila huyo mbwiga Saitoti ni mjinga sana sjui ni elimu hana...kapata pesa ndefu sana Ila matumizi yake ndio imefanya serikali imtolee macho na kingine wafanyakazi wamemlalamikia mda mrefu sana kuhusu 10%yao ambayo kwa hela aloshika angewalipa tu na kubaki na pesa nzuri tu ..huwezi ukamtumikisha mtu mgodini alafu akipata chochote unakuja kumsachi tena hapo na kuchukua magonga alonayo nq huku humlipi mshahara .Napenda kuona wadau wenyewe kwenye nyuzi kama hizi
Ova