tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Alinunua nyumba 2 mtaa wa majengo hapo stand kuu,inaonekana jamaa amefuatiliwa mda sana alikua akinunua nyumba asubuhi mjini mzima unajua...ndio shida ya kukosa elimu amekamatwa yeye,wapambe,mke wote wamepewa kesi mojaKwa hiyo Saitoti alikuwa ananunua nyumba cash?