Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Nchi maskini na hasa familia maskini mazingira hayawapi mwanya wa kuilea mimba kwa na kuifanyia uchunguzi na madaktari kabla ingali changa. Matatizo kama ya kiumbe kipya yanaweza gundulika mapema na kujaribu kufanya tathmini ya kitaalamu kama kiumbe kipya kitakapozaliwa hali yake itakuwaje? Nadhani kama itagundulika hali kuwa mbaya kuna uwezekano wa kutenda dhambi ya kusameheka hata kwa muumba kuruhusu abortion kwani kwa mazingira kama haya kama ni taabu zaidi ya maisha na pengine kuepusha taabu.