Kweli kabisa mkuuTumshukuru mungu kwa kila jambo!!!
Amen amenAmen mpendwa. nafiiri umequote 1Thesalonians 5:18 na siyo hiyo Philipians.
have good day. Glory to God
amen mpendwa. yote hayo ni mapenzi ya Mungu
Amen mpendwa. nafiiri umequote 1Thesalonians 5:18 na siyo hiyo Philipians.
have good day. Glory to God
afadhali
Walishamfanyia operation wakaondoa hiyo miguu. Mwangalie alivyo sasa.
View attachment 23466[/QUOT
Thanks to development in biomedical and high tech ! Mungu awe pamoja Nasi Sote.
:amen:Jina La Bwana Libarikiwe! Kazi yake haina makosa:amen:
<br />Nadhani huyu mtoto alishafanyiwa upasuaji na amekwisha pona kabisa. Sina picha zake baada ya upasuaji lakini nimewahi soma habari zake mahala! Hizi ni wakati akiwa bado na hilo tatizo!