Saalaaaleeehh

Hakika Siri zote za maisha ya mwanadamu zi mikononi mwake Mwenyezi Mungu.
 
This boy has been restored to normalcy by a surgery on 6th of December 2010.
 
Mimi naona walitakiwa kuwa mapacha. Uumbaji wa pacha wa pili ukawa slow hiyo process ikaishiwa nguvu. Jamani kwa nini madaktari wasimfanyie huyo mtoto operation wakaondoa huyo pacha asiyekamilika?
 
Maxshimba leo ananadi Mtume Muhammad (SAW) asaliwe!


"Saalaaaleeehh"

Allahu Akbar, Allahu Akbar, Allahu Akbar.
 
Naona baada ya operation she is very happy!!
 
its unbelievable!you can't imagine🙂
...Dah! kabisa. Dogo alikuwa na wakati mgumu sana kubeba huo mzigo kwa muda wote huo ni mateso ya ajabu kabisa. Bravooo to those doctors who operated him................
 
Thank God he is fine now, maana ilikuwa inatisha kweli
 
Kila kitu hutokea kwa sababu fulani, ila kwa hili ili utukufu wa Mungu ujulikane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…