Saa zenye uwezo wa Smartphone (smartwatch)

Saa zenye uwezo wa Smartphone (smartwatch)

Mkuu kama hauhitaji ni vizuri ukakaa kimya than kuongea vitu vya hovyo...una display ubongo wako unanini to the public. By the way visit maduka ya samsung kanunue Gear yao haulazimishwi uwe na hii...
Thanks
Kaka, siongei vitu vya hovyo ila nadhani si busara kymficha mtu juu ya uhalisia wa bidhaa zako. Kwa mfano ktk advert yako mimi naweza nikawa nimevutiwa na feature ya whatsapp tu lakini nitakaponunua na kukuta haifunction tayar nitakua disappointed. So unapotangaza biashara kua muwazi watu wajue what and what not to expect. In real sense smart watch for 60k kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama hauhitaji ni vizuri ukakaa kimya than kuongea vitu vya hovyo...una display ubongo wako unanini to the public. By the way visit maduka ya samsung kanunue Gear yao haulazimishwi uwe na hii...
Thanks
Ndo maana sura yako inafanana na avatar yako, unauza bidhaa zisizo na brand! si ungesema labda ni techno au itel nk tujue....pambana na biashara yako mkuu sio mimi
 
Back
Top Bottom