shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,428
- 3,512
kama hayajakukuta unajuaje ni vibaya wewe ukienda kwa mwanaume wako unalipia shida yako moja ni umasikini kama una shida ya pesà mwambie badala ya kuvizia.Nyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.