Saa nyingine wanaume mnajichoresha

Saa nyingine wanaume mnajichoresha

mbona na ninyi mnakuja kwetu tunawahudumia hivyo hivyo na unapo ondoka na mshiko juu wakati utamu tumepata wote sasa mnalalamika nini?
Wanawake bwana kweli tuishini nao kwa akili. Mnagegedana fresh na anaenjoy kuliko hata wewe alafu baadae mkizinguana tu unakuambia unanichezea ,yeye akija kulala kwako utampa kila kitu na hela juu siku akiondoka lkn wewe ukienda kulala kwake usipoacha kitu ni lawama
 
Mwanamke hata ukimlipia vyote ...mfanyie wema wote.....jitoe kadili ya uwezo wako....poteza mdaa & Mali kwa ajiri yake km hujamuoa ukamuweka dani ni kazi bure hawana maana HAWA watu aise ,
Hata akiwa na kwake wengi hawataki kila ukitaka kufanya kitu utaambiwa kipo acha tu ...sasa cku anune hapo utaimb a ule wimbo.....acha waisome no ...kosa lenyewe sasa halina hata natiki ya kuchukia ..ni wangumu sana wa kusameheeeee ...women hapana aise"Ishinao kwa akiri na upendo"
na c kwa *upendo na akiri".never trust women till I die.
Ila ata biblia imesema nyie wanaume ishine na wake zenu kwa hakili. Nimeipenda.
 
Hayo maneno ilibidi umwambie mwenyewe kipindi alichokuwa amevaa taulo wakati yupo kwako au unamuogopa isijekuwa unalalamika yote hayo halafu kumbe yeye ndio kakuletea viroba vya unga na sukari.Kama sio hivyo basi unamuogopa kumwambia vumilia tu ila kama mliumbwa mpewe tu basi subiria utapata wa kukupa kila siku.
[HASHTAG]#kwa[/HASHTAG] nia njema
 
ukiona hivyo kuna anayehudumiwa na akirudi hata kula alichokinunua hawezi ha ahaha ..... game of the jungle
 
Mleta mada inaonekana we ndo muhusika
Yote heri kwani we unaishi wapi huyaoni mitaani au jeuri? Juzi nimeamlia ugomvi mkubwa sana kisa mwanaume kuzamia kwa mwanamke.so if u think vyovyote it's okay.
 
Nyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.


Hahahaaa, huyu Magufuli huyu... Kaleta balaa...
 
Nyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.
Unanishangaza sana dada..kwa hiyo wewe ulitakaje?
 
Nyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.
Mm utanisamehe,naona wewe ndio haujitambui..umekariri kila kitu afanye mwanaume.
 
Sio kulalamika elewa kilicho hongelewa jua wewe mwanaume umeubwa umtunze mke sio mke akutunze wewe. Basi kama haujifunzi kafanye ukichokwa ukabalaswa utayakumbuka maneno yangu.
Na usawa umeumbwa na nani??
 
Sasa unataka alipie nini hapo?,hiyo wine,chakula na taulo ulillompa,wewe ukienda kwake ukapewa vitu kama hivyo hua unalipishwa?,hivi beijing mlikwenda kulilia nini?,si usawa?,acha uisome number,huu ndio usawa wa beijin
Hilo ndo tatizo la dada zetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom