marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,199
- 435
Umekariri...siku moja tu unawaza mbali hukoHalaafu wanaume kama hao kazi yao kuoga,na kuuvaa hata hachangii mawazo ya maendeleo,
Umekariri...siku moja tu unawaza mbali hukoHalaafu wanaume kama hao kazi yao kuoga,na kuuvaa hata hachangii mawazo ya maendeleo,
Kama ni hivo mbona POVU linakutoka?Nyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.
Inategemea kama hana kazi..ndio anafatilia mchongo je??Akija akakaa siku moja tu sio mbaya kumgaramia, anakua kama mgeni. Sasa utakuta mwingine anahamia ata wiki alafu hajivuti ata kidole kukusaidia kununua kitunguu..... Wanaume wa hivyo wanaboa saana! Kama wanataka kulelewa si wakatafute mashuga mamy!!!
Hata kaka yako ni mwanaume, naye akija kwako unataka anunue chakula na kulipia bili ya maji, au kaka yako ni mwanaume asiyejitambua kama unaowasema wewe?Tatizo sio kuchangia Mkuu! Muwe mnasema tu ila mwanaume anayejitambua na kuijua thamani ya kupewa tunu ya koromeo hawezi Ku act like a woman mode of receiving
Kabla hujaandika vutia picha dadako akija nyumbani kwako anafanya kama kile ambacho mpenzi wako anafanya including hiyo kula na kulipia bili, akifika dadako unamuingizaga chumbani na kuanza kumkwichi kwichi nyonga yake!! ikiwa sio basi jifunze kutofautisha watu wa kuwafananishaHata kaka yako ni mwanaume, naye akija kwako unataka anunue chakula na kulipia bili ya maji, au kaka yako ni mwanaume asiyejitambua kama unaowasema wewe?
Kweni yeye mwanamke anafanya biashara ya ngono?Unakuta mwanaume anaenda kwa mwanamke anakaribiswa wine, msosi analala na kukoroma. Asubuhi anahitaji chai, anafunga taulo anaoga anaondoka.
Kweli unategemea huyo mwanamke atakuwazia nini? Jisimamie kama mwanaume. Umempenda mwanamke gharamia, acha kutaka kulelewa. Je, siku ukisombewa vinguo vyako nje utalaumu?
Poleni sana wanaume mnaobebwa.
Ni kawaida yake au ndo siku hiyo tu?Unakuta mwanaume anaenda kwa mwanamke anakaribiswa wine, msosi analala na kukoroma. Asubuhi anahitaji chai, anafunga taulo anaoga anaondoka.
Kweli unategemea huyo mwanamke atakuwazia nini? Jisimamie kama mwanaume. Umempenda mwanamke gharamia, acha kutaka kulelewa. Je, siku ukisombewa vinguo vyako nje utalaumu?
Poleni sana wanaume mnaobebwa.
kaliwa bureMkuu kulikoni??? Mbona umeandika thread kwa maneno makali?? Kipi kimekupata...??
Very true.Kama ulimkaribisha Ili alipie, asubuhi ungemuandalia invoice kabisa.
Mkiambiwa mnajiuza mnaanza kulalamika na kusema mnadhalilishwa.Unakuta mwanaume anaenda kwa mwanamke anakaribiswa wine, msosi analala na kukoroma. Asubuhi anahitaji chai, anafunga taulo anaoga anaondoka.
Kweli unategemea huyo mwanamke atakuwazia nini? Jisimamie kama mwanaume. Umempenda mwanamke gharamia, acha kutaka kulelewa. Je, siku ukisombewa vinguo vyako nje utalaumu?
Poleni sana wanaume mnaobebwa.
sema yashakukuta we ulitaka akufanyie nini labda akujengee nyumba auNyie ndo mnapenda kulelewa na kuamia kwa akina dada atimae siku na siku unafukuzwa kama paka ! Mie sna muda muchafu kama unavyo fikiri ila naongelea nayo yaona yanatokea unafikiri akiongea mtu basi yamemkuta pole sana dogo.