Wasalam aleku ndugu zangu,
Leo mishale ya saa mbili usiku nafunga ndoa. Ramadhani imefika kwa sisi tusiopenda kuzini kidogo inakuwa mtihani hivyo imeamua kuvuta kitu ndani.
Hakuna sherehe tumeamua kubariki ndoa tu.
Naombeni dua zenu ndoa yangu iwe na baraka idumu milele isiwe ndoa ya Ramadhani.