Wahamiaji haramu ni tatizo. Lakini pia humu nahisi kuna watu wapo too extreme!!, hawa si watanzania na naomba wasitumie jamiiforums ku-propagate hate.
Tanzanians are better than that, hawa wanaowatukana watusi in general nadhani either ni mapandikizi au ni wapinzani wa Kagame na wanatumia mwanya huu kuendeleza maovu yao.
Tanzania hatu-support Interahamwe! .. matter of fact I hate Interahamwe. Hatu-support M23 and other proxy forces supported by the Rwandan regime either.
Kwa hiyo kuna watu itabidi waache ujinga wa hate mongering na wawaheshimu wahamiaji haramu kama binadamu. It's a very unfotunate situation but we need to protect our country. It's unfortunate for tutsis not because they're tutsis, but their lifestyle is ecologically not viable na incoherent with the local population. This makes it looks like they are targeted based on their ethnicity, but thats not true at all!! ... and we know some people on both sides will try to divert the truth for their own interest, shame on you!
Njooni legally. And respect us.