mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 730
When you look at the way people are treated sometimes you wonder whether it's being done by our fellow Africans, let alone East Africans. My neighbour with whom we have been sharing everything is the one who stormed my home at night with other locals, destroyed my house, took away my cattle and threatened to kill us if we remained in the area," Nshimiyimana said.
watanzania hawako hivyo!! I can't imagine Mnyarwanda sharing everything with other people ambao sio wanyarwanda. kama walipiga nyumba yako mawe basi walikuchoka!!
kwa ambao hamjawahi kuishi na watusi msiombee hawa watu ni wanafiki na wazandiki wakubwa! kweli wahutu wanateseka.