I was so shocked with JK decision.
Wakitaka wapeleke hata CNN, ALJAZIRA, BBC na kwingineko wanakokujua sisi tunataka warudi kwao watuachie Tanzania yetu.propaganda za Rwanda tunazijua tokea 1994 wameua wahutu kwa wingi sana then wakakusanya mafuvu ya vichwa wakayaweka kwenye jumba la makumbusho na kualika dunia eti ije iangalie mafuvu ya vichwa vya watusi laki nane.
Of all the people Kagame namshangaa sana anafanya siasa za majitaka lakini hajui kama dunia ya sasa imebadilika sana
kama naisikia audio vile,ulirekodi nini?Umeambiwa Usifanye hiki,
Ukaamua kukaidi, utapigwa tu...
Hamna namna nyingine, Maana
WOTE TUKUBALIANE KWAMBA NCHI
HII TUNAIENDESHA KWA MISINGI
YA KISHERIA.Sasa kama wewe
umekaidi, Hutaki unaona kwamba
ni imara zaidi... wewe ndiyo jeuri
zaidi watakupiga tu.... Mimi
nasema muwapige tu, Kwa sababu
hakuna namna nyingine... Maana
tumechoka.
Mimi ni mmoja wa wanaosimamia zoezi hili...hayo wanayosema hawa Wanyarwanda ni uongo mtupu...mpaka sasa serikali haijaanza kuwatimua wahamiaji haramu, ni woga wao tu huo ndio maana wameanza kuuza ng'ombe maana kwa Kagame hakuna kumiliki ng'ombe zaid ya 10.
Wanatafuta huruma ya kimataifa kuendelea kufaidi rasilimali za Tanzania na kunufaisha nchi yao...ng'ombe waliopo mkoa wa Kagera wanakadiriwa kuwa zaidi ya laki 5, je mkoa mbona hauna hata ghala la ngozi? Ngozi za ng'ombe zinakwenda wapi?
Wananchi katika wilaya za Missenyi na KARAGWE wamekuwa wakinyanyaswa sana na wafugaji hawa, wanaharibu mazao ya wakulima na kuwahonga viongozi wa vijiji ili kupotezea malalamiko ya wakulima masikini wa kitanzania...sasa kibao kimewageukia wanatoa visingizio....hao wanaodai kuwa wana documents halali ni uongo...mtu anamiliki ng'ombe mia mbili alipe permit ya peasant ya alfu 10 hii haikubaliki...waliowapa kwa kudanganya ndio hao wanaowanyang'anya permits hizo...
Mwisho, Wanyarwanda ni ndugu zetu, tunawapenda ila tunawaomba wakija Tanzania wafuate sheria za nchi yetu, hatukatai wageni, tunakataa wageni wezi waporaji wanyonyaji na wababe dhidi ya wenyeji....asanteni
Tena timua wote. Na rais wao dictetor
Asante kwa kutujuza, mpaka sasa wamefika wangapi hao Wanyarwanda ambao inabidi warudi kwao?
kama kna wa tz wapo rwanda kinyume cha sherianao watimuliwe warud kwao hku wajenge taifaHow can you say that? Are you sure hakuna Wahaya na Wanyambo kule kwao? Ebu jaribu kuvaa viatu vyao kabla hujaanza kutoa pongezi.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
nimegundua sisi watanzania ni wabaguzi sana ila ni waoga.
pia hii jumuiya ya afrika mashariki ni jina tu itavunjika tu. kutakuwa na K3
Wapuuzi kweli juzijuzi tu walikuwa wanatutukana na kumvua nguo Rais wetu hadharani, ila leo ndio wamekumbuka kuwa sisi ni majirani na ndugu. All Rwandans tupa kule
Usitumie makalio kufikiri kwani hayana ubongo