Rwanda yatuhumiwa 'kupika' takwimu za uchumi kwa manufaa ya kisiasa

Unazidi kuthibitisha kwamba wewe ni popoma kutoka chuo cha kata SAUT hahahahahah

Bahati mbaya sijui nzuri ni kwamba sijafikia uwezo wa Kusoma Vyuo Vikuu kwani sina huo Uwezo na isitoshe hata Akili ya Kusoma sina hivyo nakushangaa ulivyonihusisha na hicho Chuo Kikuu bora nchini Tanzania na Afrika Mashariki cha Kikatoliki ( SAUT ) wakati sijapata Taaluma yao hapo. Sisi Wazaramo na Waluguru Elimu Kwetu siyo Kipaumbele kama Majungu na Fitna ambazo ndizo tunazipenda na tunaziweza vile vile.
 
Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda.

Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.
Mnyamulenge ktk ubora wako,
Ila kumbuka usingesoma elimu hii unayo inanga tena kwa kodi zetu wa Tz usingeweza kuandika hata mstari 1 hapa jamvini.
nyambafu m23
 
anaiga vitu vingi sana kutoka kwa huyo jamaa, sijui hata usalama wetu ukoje kwa sababu kipindi cha JK ambapo tulikua tunawabana kiasi lakini bado kuna majasusi wa kinyarwanda walikua wanapenya hadi sehemu nyeti kabisa za nchi tena kwa muda mrefu, sasa hivi leo inawezekana hata hawajifichi wanarandaranda tu kwenye korido za jumba jeupe.
Siamini kama kiusalama hiyo shithole country inaweza kutuingilia kiasi hicho hizo ni fikra zetu tu ambazo haziwezi kua harisi yaani m23 kuingilia mfumo wetu wa kiusalamq
 
Ni kawaida ya madikteta, hata hapa bongo mnaambiwa uchumi unakua huku hali nzima mnaiona wenyewe, private sector inakata kwa speed balaa, huu ujinga walikua nao venezuela nenda uone hali ilivyo sasa hivi, na cha ajabu bado jamaa wanajaribu kusuka data pamoja na kufail kwenye kila kitu
 
Magufuli madata yake mbona ya uongo tu anasema uchumi unakuwa kwa 7% ila ukiangalia hali halisi ya wananzengo ni afadhali ........
 
anaiga vitu vingi sana kutoka kwa huyo jamaa, sijui hata usalama wetu ukoje kwa sababu kipindi cha JK ambapo tulikua tunawabana kiasi lakini bado kuna majasusi wa kinyarwanda walikua wanapenya hadi sehemu nyeti kabisa za nchi tena kwa muda mrefu, sasa hivi leo inawezekana hata hawajifichi wanarandaranda tu kwenye korido za jumba jeupe.
Wapotoshaji kama nyie hasa katika maswala ya usalama wa taifa letu mwafaa mpigwe mpaka mauti
 
Bro vyote mm nakubali ila habari za kusema Magufuli anamgeza Kagame huo ni urongo na uzwazwa usio na kifani.
Yanayotokea Tz hayahusiani na Rais wetu kumgeza Kagame .
Punguzeni fikra finyu na za uongo.
Leten evidence ya mnayoongea,au mnaongea kwa assumptions tu!!???
anaiga vitu vingi sana kutoka kwa huyo jamaa, sijui hata usalama wetu ukoje kwa sababu kipindi cha JK ambapo tulikua tunawabana kiasi lakini bado kuna majasusi wa kinyarwanda walikua wanapenya hadi sehemu nyeti kabisa za nchi tena kwa muda mrefu, sasa hivi leo inawezekana hata hawajifichi wanarandaranda tu kwenye korido za jumba jeupe.
 
Embu acha unafiki ww.
Toka enzi za Nyerere mpk sasa habari za kuuana zilikuwepo hp Tz.
Tena mkapa alizidisha kapiga sana watu shaba kwa mlengwa wa kidini.
Kikwete naye kapiga sana watu marungu wa chama pinzani.
Hakuna tofauti na Magufuli.
Na Embu taja hayo mambo Magufuli anayoyaiga kwa Kagame ??
Watu wanaachaje kumhusisha na Kagame wakati kila anachofanya kinafanana? Kumbuka ziara yake ya kwanza alipoingia madarakani alienda wapi? Watanzania siyo wajinga, hatukuwahi kuwa na mambo ya kishenzi ya kutekana, kuua wapinzani, kunyamazisha vyombo vya habari mpaka alipoingia huyu mhutu.
 
Back
Top Bottom