Rwanda yatuhumiwa 'kupika' takwimu za uchumi kwa manufaa ya kisiasa

Kwenye tawala zote duniani hata ukiwa wewe ni Rais leo unayolalamikia hapa yanafanyika nchi zote. Tofauti tu ni approach ya jinsi yanavyofanyika na inteligencia yake.

Sipingi hoja yako na pia uko sahihi kulalamika ila usiwaze kwa JPM tu waza hata tawala zingine na zingine utakuwa huru kuishi Maisha yako.
 
Kumbe Gisenyi ipo pwani?
 
Yaani Tanzania imekongoroka kiasi cha kuanza kuiga uchafu wa nchi duni ya Rwanda !
 
Nimefurahia tu kiswahili safi sana toka Rwanda, inaelekea "Shem" hakuna shida ya mawasiliano . Dada zako wazuri wanatupagaisha sana..
 
Kuiga chochote kutoka Rwanda, kumeleta matatizo makubwa ambayo hatujayazoea na hayazoeleki.
 
Ndugu yangu umewahi kufika Rwanda? Au unaongea kwa kunukuu hao wapuuzi wa FT na France24? Rais Kagame ameijenga nchi ile kwa muda mfupi sana. Ni nchi iliyopiga hatua kubwa sana baada ya Genocide against the Tutsi. RPF wamechukua nchi ikiwa haina uchumi kabisa. Sasa uchumi unakuwa kwa asilimia kati ya 7 na 8. Halafu mnasema kapika data?? Chanzo chenu ni FT, France24 ambao wao wanasikiliza detractors like Dr Himbara and others ambao wanasema lolote ili mradi kuwafurahisha mabwana zao walikokimbia uhamishoni. France24 hawa hawa waliokuwa wanaitwa "french Hutu" na interahamwe murderers?? Leo mnawapa credibility ya kuongelea progress ya Rwanda?? Exiles always slant what they say to suit their hosts' narrative. Usiamini upuuzi huu. Tembea Rwanda ujionee halafu uje uongee hapa.
 

Kagame ameijenga nchi hiyo, je hali halisi za wananchi wake kiuchumi zikoje? Kuna uwiano wa kimaisha baina ya wananchi na hiyo miundo mbinu?
 
Kagame ameijenga nchi hiyo, je hali halisi za wananchi wake kiuchumi zikoje? Kuna uwiano wa kimaisha baina ya wananchi na hiyo miundo mbinu?
Rais Kagame ameweza kuimarisha maisha ya wanyarwanda wa kawaida kwa kiasi kikubwa sana. The living standard has doubled under PK.
 

Mstari gani uliopo?
 

Huyu mnyarwanda anayeishi tanzania. We jamaa we ni mkimbizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…