Rwanda yatuhumiwa 'kupika' takwimu za uchumi kwa manufaa ya kisiasa

Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.
Uandishi wako mbovu kabisa na pumba tupu
 
Watu wanaachaje kumhusisha na Kagame wakati kila anachofanya kinafanana? Kumbuka ziara yake ya kwanza alipoingia madarakani alienda wapi? Watanzania siyo wajinga, hatukuwahi kuwa na mambo ya kishenzi ya kutekana, kuua wapinzani, kunyamazisha vyombo vya habari mpaka alipoingia huyu mhutu.

Sijawahi kukutana na ' Foolish Argument ' kama hii yako hapa Jamvini ambayo imetoka kwa Mtu anayejinasibu kuwa ni Msomi.
 
Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.
Genta Popoma
 
Wakati ukikimbilia kuwashwawashwa na mambo ya ndani ya Rwanda tunaomba pia utuhakikishie kama hata nchi yako ya Tanzania nayo haipiki data zake katika mambo yake mbalimbali ya Kimaendeleo. Ukiachia mbali hao Wazungu ambao hawajaanza Chuki zao na Rais Kagame leo ila kwa wenye Akili tunatambua kuwa Rwanda ya sasa chini ya Kagame imepiga hatua nyingi ukilinganisha na ilivyokuwa japo nakiri kuwa bado kuna Changamoto kadhaa za Kidemokrasia na Kisiasa ila Rais Kagame amejitahidi na yapo Maendeleo kadhaa utayakuta nchini Rwanda ambayo ilichafuka Kimapigano ( Mauaji ya Halaiki ) zaidi ya mara mbili katika Historia ambayo huwezi kuyakuta nchini Tanzania ambako wanajinasibu kuwa ni Baba wa Amani Afrika kama siyo duniani. Halafu ni Upumbavu uliopitiliza kila mara Kuhusisha Mapungufu ya Rais JPM Kiuongozi na Kisiasa na Urafiki wake na Rais Paul Kagame wa Rwanda. Kuna Watu mnajiita Wasomi lakini arguments zenu haziakisi hivyo na si ajabu ndiyo maana hata Elimu ya nchini mwenu ina Changamoto Kubwa kama siyo nyingi.
Popoma kwenye ubora wako hahahahahah !
 
Wazungu hawezi kusifia hata siku moja. Wazungu na Developing Countries wako kama CCM na CDM. Chochote unafanya lazima watupie jicho.
Walihangaika sana na China lakini China haikuangalia Nyuma na leo ndio namba 2.
Hao wazungu ni wa kuwapuuza ndipo tutasonga la sivyo watatutoa kwenye msitari.

China did, we can too.
China economic reforms:
In the 1990s, Deng forced many of the conservative elders such as Chen Yun into retirement, allowing radical reforms to be carried out.[21] Despite Deng's death in 1997, reforms continued under his handpicked successors, Jiang Zemin and Zhu Rongji, who were ardent reformers. In 1997 and 1998, large-scale privatization occurred, in which all state enterprises, except a few large monopolies, were liquidated and their assets sold to private investors. Between 2001 and 2004, the number of state-owned enterprises decreased by 48 percent.[20] During the same period, Jiang and Zhu also reduced tariffs, trade barriers, and regulations; reformed the banking system; dismantled much of the Mao-era social welfare system; forced the Chinese army (PLA) to divest itself of military-run businesses;[25] reduced inflation; and joined the World Trade Organization. These moves invoked discontent among some groups, especially laid-off workers of state enterprises that had been privatized
 
China economic reforms:
In the 1990s, Deng forced many of the conservative elders such as Chen Yun into retirement, allowing radical reforms to be carried out.[21] Despite Deng's death in 1997, reforms continued under his handpicked successors, Jiang Zemin and Zhu Rongji, who were ardent reformers. In 1997 and 1998, large-scale privatization occurred, in which all state enterprises, except a few large monopolies, were liquidated and their assets sold to private investors. Between 2001 and 2004, the number of state-owned enterprises decreased by 48 percent.[20] During the same period, Jiang and Zhu also reduced tariffs, trade barriers, and regulations; reformed the banking system; dismantled much of the Mao-era social welfare system; forced the Chinese army (PLA) to divest itself of military-run businesses;[25] reduced inflation; and joined the World Trade Organization. These moves invoked discontent among some groups, especially laid-off workers of state enterprises that had been privatized
Haya ni machache sana kwenye kufikia hapo ilipo.

Nikikuwekea hapa unaweza hisi sisi ni matajiri kuliko china.

Tatizo letu tunapenda sana wazungu watusemee kuliko kujisema wenyewe.
Natamani tupate watu kama JPM hadi 2040 tu tutakuwa mbali sana.
 
Popoma kwenye ubora wako hahahahahah !

Bahati mbaya Mimi ni Mgeni hapa na huwa sipo mara kwa mara hivyo hilo neno lako / lenu Popoma wala sijui linamaanisha nini na nitashukuru kama mkiniambia maana yake ili basi na Mimi niweze Kuwaiga / Kuwaigeni ili niwe nalitumia hapa.
 
Jarida la Financial Times (FT) linaripoti kuwa baada ya uchunguzi wa muda mrefu limegundua kuwa nchi ya Rwanda imekuwa ikichakachua takwimu zake za umasikini nchini humo, ikumbukwe kuwa France24 ilisharipoti mwaka 2015 kuwa serikali ya Kagame inachakachua takwimu zake za uchumi.

Uchakachuaji mkubwa zaidi ulifanyika mwaka 2015 punde kabla ya kura ya maoni iliyomwongezea Kagame (ambaye alishakuwa madarakani kwa miaka 15) muda wa kukaa madarakani kwa miaka mingine karibu ishirini! katika mazingiza hayo Kagame alikataa katakata kukubali takwimu zilizo onesha kuwa umasikini unaongezeka nchini Rwanda.

FT pia lilichapisha kwa mara ya kwanza barua ya ndani ambayo wafanyakazi watano wa benki ya dunia waliwaandikia viongozi wa taasisi hiyo mwaka 2015, katika barua hiyo wafanyakazi hao walilalamikia kile walicho kiita "uchakachuaji wa takwimu na kushindwa kwa Rwanda kutoa data za uhakika kwa uwazi", pia waliendelea kuandika kuwa "kile kilichokua kinaendelea kilikua na hatari ya kuichafua heshima ya benki ya dunia ikiwa nchi ya Rwanda itaendelea na mchezo wake".

View attachment 1180958

My take: naona kila siku mambo yanazidi kujijidhihirisha kuwa ni wapi mheshimiwa wetu anachota 'idea' zake za ajabuajabu na zisizo za kitanzania.
Wazungu wanaakili sana yakuweza kutuzunguka jamani na ndio maana nchini kwetu tumeamua bila NBS kuhakiki hizo takwimu basi zakwao zinakuwa feki.
 
Wazungu hawezi kusifia hata siku moja. Wazungu na Developing Countries wako kama CCM na CDM. Chochote unafanya lazima watupie jicho.
Walihangaika sana na China lakini China haikuangalia Nyuma na leo ndio namba 2.
Hao wazungu ni wa kuwapuuza ndipo tutasonga la sivyo watatutoa kwenye msitari.

China did, we can too.

Mnalazimisha siasa za kijamaa hapa Tanzania kwenye kizazi hiki, lakini ukweli ni kuwa ujamaa sio formation inayoendana na mahitaji ya kizazi hiki. Hiyo kulazimisha ndio maana unaona nguvu kubwa zinatumika kulazimisha hali hiyo ikiwemo kuchezea box la kura ili kujaza wanaccm kwenye uongozi, watakaoungana mkono chochote atakacho Magufuli ambaye bado anaamini kwenye siasa za ujamaa. Ukweli ni kuwa siasa za ujamaa zilifail toka enzi za Nyerere, na siku Magufuli anatoka madarakani kesho yake asubuhi mambo yake mengi yatafutiliwa mbali.
 
Back
Top Bottom