Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,268
Mambo 10 usiyo yajua Kuhusu Paul Kagame na serikali yake Rwanda
- Kila alhamisi ya Mwisho wa Mwezi Rais husimamia kufanya usafi Nchi Nzima na Rais huonyeshwa Live akifanya Usafi .Hii ni sheria shughuli zote maduka yote hufungwa kwa zoezi la usafi hata Kama ni mgeni mpaka saa NNE
- Barabara zote hupigwa deki kila mwisho wa week na wanajeshi
- Kila Mwanafunzi anaye fika kidato cha kwanza anapewa Laptop
- Msafara wa Rais hauzidi Magari ma Tatu
- Ukigundulika umetoa au umepokea rushwa unatiwa ndani kwenye Mahakama Maalumu ya Rushwa Uchunguzi unafanyika ukiwa Ndani hilo halina Waziri au katibu mkuu au mfagizi
- Paul Kagame amethubutu na ameweza kuzifuta Nyumba za Nyasi Nchi Nzima hamna nyumba za nyasi
- 90% ya watu wake woote wana huduma ya umeme majumbani mwao
- 90% ya barabara zake zooote zimejengwa kwa kiwango cha Lami Madhubuti
- 90% ya budget yake inajitegemea yenyewe bila kutegemea wahisani na ni mapato ya makusanyo ya ndani..Hana simile katika kodi hicho ndicho kwanza , mwekezaji ukitaka uondolewe nchini Siku hiyo hiyo kwepa kulipa kodi
- Waziri wake woote wana ripoti kwa Raisi kila mwiso wa mwezi kueleza na kuonyesha usimamiaji wa shughuli walizo pewa na serikali