kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Bora hata huyo alizaliwa huko sasa huyu kaajiriwa jeshini hadi akawa CDF halaglfu anahama kwenda nchi nyingine anakua CDF tena! Haya maajabu hatari hata ulaya cjui kama wanawezaHahah dunia ina mambo mengi mkuu,rais wa peru fujimori alikua mmperu mwny asili ya japan alivyozingua alipokua madarakani akakimbilia kwao Japan,hahah.