RWANDA: Rais Paul Kagame afanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri ambapo Wizara 8 zimepata Waziri wapya

Hizi multiple id zako ni shida mkuu,teh teh

Mimi nina moja tu mkuu

Kwa nini niwe na zaidi ya moja kwanza namuogopa nani?

Id yangu ni hii Jurrasic Park huyo mwingine unayenifananisha naye mimi simjui kabisa. Kuna tatizo la kila anayeanzisha ID mpya au member mpya anapotaka kutumia id nyingine bila kuffanya utafiti kinachotokea ni kunatokea kitu kinachoitwa 'merger'
 
Mimi nina moja tu mkuu

Kwa nini niwe na zaidi ya moja kwanza namuogopa nani?

Id yangu ni hii Jurrasic Park huyo mwingine unayenifananisha naye mimi simjui kabisa. Kuna tatizo la kila anayeanzisha ID mpya au member mpya anapotaka kutumia id nyingine bila kuffanya utafiti kinachotokea ni kunatokea kitu kinachoitwa 'merger'
Teh teh mkuu ogopa teknolojia na Mungu hivo vitu havisemi uongo.kwani hii thread Happy birthday Aleppo - JamiiForums ilianzishwa na nani?
 
Hizo ndio habari nilizopo chini ya kapeti mkuu na ndio maana walikuwa wanambana kayihura asisafiri nje ya nchi maana mpango ulikuwa akazamie Rwanda kama mapandikizi wengine kama Ntaganda au Laurent nkunda mambo yalivyovurugika wakakimbilia Rwanda!!! Alafu nashangaa kuna watu bado wana imani hadi kumfanya kagame rafiki yao!! Museveni na nkuruzinza walishastuka ndio maana hawataki mazoea naye ya kijinga jinga tena otherwise leo hii nchi zao zisingekalika tena!!
Unadhani Kagame huenda akamuandaa nani kama mrithi wake baadae hasa baada ya kumtoa Kabarebe kwenye hiyo wizara nyeti ?
 
Ameianzisha id moja inayoitwa Alleppo sasa mimi Jurrasic Park hapa nahusikaje kwa mfano. Mimi nakuambia hilo jina nalikumbuka sana tena kipindi kile cha Birthday ya memba fulani lilikuwa linaletaga kelele sana. Na kwa bahati nzuri huwa nakumbukumbu nzuri.

Tafadhali mkuu usinihusishe kwenye vitu ambavyo nimekuambia sihusiani navyo au labda una ajenda nyingine tena u-mtutsi maana kwenye nyuzi zinaowahusu ndugu zako upo cc kayaman, @Jestkila, Koba, @muratungore @jaymillion GENTAMYCINE na wengineo
Haha eti nini?huu uzi Happy birthday Aleppo - JamiiForums si umeanzishwa na wewe Jurassic Park au naona vibaya?

hahah ogopa Mungu na Teknolojia mkuu lazima uumbuke tu hakuna namna.
 
Ata ukweli nao huelewi mimi nakuambia simtambui wewe unalazimisha. Basi umelogwa kama jiwe na Bashite
Teh teh bwana mdogo kua mpole hapo mamlaka ya serikali za mitaa unapofanya kazi anayekulipa ni huyo unayemuita jiwe,we jifanye kama huelewi elewi hivi teh
 
Inakuaje hadi mtu anakua mkuu wa majeshi kwa nchi biki
Rais wa Rwanda Paul Kagame amefanya mabadiliko makubwa katika baraza lake la mawaziri na kumteua Dkt Richard Sezibera kuwa waziri mpya wa mashauri ya nchi za nje.

Jenerali James Kabarebe aliyekuwa mtu wa karibu sana na Rais Kagame amepoteza wadhifa wake kama waziri wa ulinzi na badala yake akateuliwa mshauri wa rais katika masuala ya usalama.

Katika mabadiliko makubwa na ya kushtukiza aliyofanya Rais Kagame wizara 8 kati ya 23 zimepata mawaziri wapya zikiwemo wizara nyeti tatu, wizara ya ulinzi ambayo sasa inaongozwa na Meja jenerali Albert Murasira aliyechukua nafasi ya Jenerali James Kabarebe.

Mwandishi wa BBC Yves Bucyana anasema si wengi walitarajia mabadiliko haya.

Jenerali Kabarebe ambaye amepewa nafasi ya kuwa mshauri maalumu wa rais wa maswala ya ulinzi na jeshi alikuwa mshirika wa karibu sana na Rais Paul Kagame tangu vita vilivyong'oa utawala wa rais Juvenali Habyarimana miaka ya 1990.

Mkuu wa majeshi Rwanda na Congo
Jenerali Kabarebe ndiye mtu aliyewahi kuwa mkuu wa majeshi ya nchi mbili Rwanda na Congo wakati wa utawala wa hayati Laurent Desire Kabila; kabla ya kuwa waziri wa ulinzi wa Rwanda kuanzia mwaka 2010.

Mwanajeshi huyo ni miongoni mwa maafisa saba wakuu wa Rais Kagame ambao walikuwa wamefunguliwa mashtaka na Ufaransa kuhusiana na kuuawa kwa aliyekuwa rais Juvenal Habyarimana, mauaji ambayo yanadaiwa kuanzisha mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 ambapo watu zaidi ya 800,000 waliuawa, wengi wao Watutsi walio wachache.

Hakuna sababu iliyotolewa ya kuondolewa kwa Kabarebe kutoka kwenye wizara ya ulinzi lakini kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, kuondoka kwake kunaonekana kama hatua kubwa katika kutaka kurejesha tena uhusiano mwema kati ya rwanda na Uganda.

Uhusiano wa Rwanda na jirani yake Uganda umekuwa ukidorora kwa miaka mingi, ambapo Rwanda imekuwa ikiituhumu Uganda kwa kuwakamata kiholela raia wake nchini humo na pia kwa kutoa hifadhi kwa waasi na wapinzani.

Chanzo: BBC Swahili[/QU
Inakujje mtu anakua mkuu wa majeshi wa nchi mbili tofauti?
Nadhan mfumo wao na Tz ni tofauti hapa kwetu ukiona mtu anakua mkuu wamajeshi ujue ana miaka 5-7 anastaafu utumishi Jeshini
 
nasikia huyo kabarebe ndio injini kuu iliyotumika kushauri na kuandaa mikakati dhalimu ya kuuwa wapinzani wa kagame ndani na nje ya rwanda.ni mtu hatari sana.
 
Back
Top Bottom