Rwanda: President Kagame fires Military Intelligence Chief

Rwanda: President Kagame fires Military Intelligence Chief

Huyu Kagame kuna siku hao watu watamlamba risasi
 
Hawa jamaa majina yao yanafanana sana na ya waTanzania, na wengi majina haya yameshika nafasi za juu nchini, natamani kama Rwanda na Burundi zingekuwa sehemu ya Tanzania kama ilivyo Zanzibar.
 
Sababu za kufukuzwa hazijawekwa wazi. Ila hiyo kwamba wakifukuzwa huwa hawabaki salama ni perception tulioijenga tu. Hata kama ilishawahi tokea kwa baadhi either kwa kukusudia au bahati mbaya, haimaanishi ndio utaratibu. Anyway, let us wait and see
wait and see what now for him to kill or for him to run to a safer place maana hata yule mwingine alifuatwa s. Africa akauliwa tuu halafu jamaa anasifiwa ile mbaya atawamaliza huyo mpeni tuu miaka mingine
 
Hawa jamaa majina yao yanafanana sana na ya waTanzania, na wengi majina haya yameshika nafasi za juu nchini, natamani kama Rwanda na Burundi zingekuwa sehemu ya Tanzania kama ilivyo Zanzibar.
wewe Zanzibar inatupeleka puta unataka ulete wahutu na watusi tena balaa lake ni baya wacha wakae kwao. Tutakimbilia wapi wakianza wapenda na waunguja- wahutu na watusi tuombe Mungu yaishe salama
 
wewe Zanzibar inatupeleka puta unataka ulete wahutu na watusi tena balaa lake ni baya wacha wakae kwao. Tutakimbilia wapi wakianza wapenda na waunguja- wahutu na watusi tuombe Mungu yaishe salama

Vita zikitokea kwao wanakimbilia huku daima, na kusema ukweli wapo wengi sana nchini humu, hii mipaka ni ya kufikirika tu, ni bora wangekuwa wenzetu tungewameza. Sizungumzii muungano kama wa Zanzibar...
 
Hawa jamaa majina yao yanafanana sana na ya waTanzania, na wengi majina haya yameshika nafasi za juu nchini, natamani kama Rwanda na Burundi zingekuwa sehemu ya Tanzania kama ilivyo Zanzibar.
Sababu za kufukuzwa hazijawekwa wazi. Ila hiyo kwamba wakifukuzwa huwa hawabaki salama ni perception tulioijenga tu. Hata kama ilishawahi tokea kwa baadhi either kwa kukusudia au bahati mbaya, haimaanishi ndio utaratibu. Anyway, let us wait and see
tatizo unajadiliana na watu wanaoendeshwa na chuki bila kushughulisha ubongo! hawajuwi lolote... wanaleta majina ya watu waliokwepa mkono wa sheria eti ndio "upinzani" huku kwetu kila mtu anashughulishwa kama akipatikana na hatia... kuna wengine ambao wapo magerezani, kunawaliotoka na kuna wanaoelekea huko... lakini baada ya hayo yote tuna dunda noa hapa mitaani! sasa tufanyeje? sheria situmejitilia wenyewe! kwa mfa Lt. Col. Nyamurangwa alipigwa mvua sita akavumilia na akatoka tena alitoka kanawili kweli na hivi ni pastor, upo hapo? hawa Interahamwe kina jMali na Imbonerakure vyuma chuki zao zinawaziba macho/masikio, kero tupu! alafu wanasema hivyo vi pointless vyao eti ndi NONDO... balaa hili lakini hakibadiliki kitu Maziku Masunga Jr. MALCOM LUMUMBA Bukyanagandi
 
Bora ya mtumbua majipu atakuacha uende segerea hilo la kuua hivyo ni hatari sana kwa watu wa damu yako kumwaga damu. wewe ukiondoka wanao hawawi marais sasa unawaweka pabaya sana watahangaika sana. mungu turehemu na janga hili
 
Bado Mchambawima, hajaonesha umahiri kwenye kufanya propaganda nzuri katika social media. Badala ya kusaidia ku-polish image ya Rwanda badala yake ndiyo inaivua nguo kabisa.

Ila Mchambawima baki hapohapo Mbezi, hata wakikwambia wanakurudisha Rwanda kwa misheni nyingine usikubali!! teh tehe
Siku hizi kahamia Salasala...
 
1. Kama kawajibishwa je kawajibishwa kwa lipi kama sio kushindwa kudhibiti taarifa za kiintelijensia kuwa Rwanda ndio inatekeleza uasi Burundi?
2. Historia ya watu wanaofukuzwa Rwanda inajulikana. Naomba nirudie mojawapo ya post zangu za zamani kuhusu hili suala.
Najinukuu....

Kwenye mambo ya reshuflle za Rwanda huwezi kusema hizi comments zetu ni paranoia hata siku moja. Kutoka uwaziri mkuu hadi ubalozi ni DEMOTION. Ni sawa na zile habari za kuachishwa cheo fulani chenye hadhi na kinachojulikana halafu "ukarudishwa wizarani kupangiwa majukumu mengine", ni lugha polite ya kusema UMESHUSHWA CHEO. Kushushwa cheo sio necessarily jambo baya kwa nchi kama Tanzania, ila kwa historia ya Kagame anaposhusha watu vyeo, tena kwa level za aibu za kama hii ya kutoka waziri mkuu kwenda ubalozi, inajulikana. Hivyo si ajabu kwa watu kubashiri kitakachotokea na wala sio paranoia. Tuangalie kesi chache tu:

  1. Kayumba Nyamwasa alivuliwa UKUU WA MAJESHI Rwanda, akapewa UBALOZI India. Baada ya hapo mwenyewe akakimbilia uhamishoni SA. Ilibainika mahakamani SA kwenye kesi ambayo ilifunguliwa kupinga uhalali wa yeye kupewa ukimbizi kuwa, kumbe aliomba hifadhi punde tu baada ya kupewa cheo cha ubalozi, inaelekea alikuwa anajua kabisa kuwa kushushwa cheo Rwanda maana yake nini. Nadhani unajua kilichompata huko SA.
  2. Patrick karegeya alikuwa MKURUGENZI WA USALAMA WA TAIFA, akashushwa cheo kwenda kuwa MSEMAJI WA JESHI, baadae AKAPOTEA kusikojulikana, kumbe alifungiwa kwenye nyumba za usalama wa taifa, akavuliwa vyeo vyote vya kijeshi, akafanikiwa kutorokea South africa, kilichofuatia nadhani unajua.
  3. David Himbara alikuwa katibu mkuu kiongozi, akafukuzwa baada ya kutofautiana na interests za first lady. Baada ya hapo ndugu zake wote walioajiriwa serikalini kuanzia mkewe aliyekuwa mamlaka ya mapato, wajomba, shemeji…anybody related to him, wote wakafukuzwa at the same time! What a coincidence! Akakimbilia Nairobi, huko alinusurika kutekwa na kurudishwa Rwanda (hii mambo ya Rwanda kuteka wanyarwanda nchi za watu ni kawaida sana, google kesi ya mlinzi wa kagame joel mutabazi), kilichomuokoa ni kuwa alikuwa na passport ya Canada sio ya Rwanda (haishangazi, a lot of tutsis waliokuja na kagame wana uraia wa kigeni, hata hapa JF si unawaona? wana passport za TZ wote hawa, lakini mioyo yao iko rwanda!), kwa hiyo kwa kuogopa "wazungu" watekaji wakapotezea. Sasa anaishi uhamishoni South Africa, ambapo analindwa na polisi masaa 24 asiuawe kama karegeya.
  4. Celestin Rwigema alikuwa WAZIRI MKUU, alijiuzulu kutokana na kutokuelewana na bwana mkubwa, baada ya hapo akakimbilia US. Ile kufika tu, huku nyuma akafunguliwa mashtaka ya GENOCIDE. Bahati nzuri marekani haikukubaliana na Rwanda hivyo ikampa ukimbizi, karudi Rwanda baada ya miaka 11 kutokana na kesi ya rwanda kufa.
  5. Theogene rudasingwa aliwahi kuwa balozi wa Rwanda marekani, katibu mkuu wa chama tawala na chief of staff to president kagame, mwaka 2005 aliomba hifadhi mwenyewe US baada ya kufukuzwa na kagame ikulu 2004. Huku nyuma kama kawaida zikaibuka kesi kedekede za kila aina.
  6. Gerald Gahima alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali, baada ya kutokubaliana na kagame "kubaka" sheria na mahakama kwa ujumla kwa kesi zake za genocide zisizo na kichwa wala miguu, akajiuzulu na kwenda uhamishoni, ile anafika tu, huku nyuma akafunguliwa kesi kubwa tu kibao endapo atarudi rwanda kuanzia utapeli, ubakaji n.k. Kwenye hii ya ubakaji believe it or not, anatuhumiwa kumbaka mwanamke mmoja ambaye ilikuja kugundulika mwanamke huyo huyo pia anamshitaki Theogene rudasingwa kwa ubakaji vile vile! It seems mwanamke huyu yuko standby, yoyote atakayepishana na kagame, atapewa kesi ya kumbaka huku mama. Usishangae endapo kesho huyu waziri mkuu "mstaafu" anashitakiwa kwa ubakaji wa mwanamke huyu huyu...Hiyo ndio Rwanda bwana.
  7. Tharcisse Karugarama alikuwa waziri wa sheria, alifanya mahojiano na gazeti la UK, "bahati mbaya" akasahau kuwa Rwanda ni mali ya kagame, eti akadai kuwa Kagame hatagombea tena kama ilivyo kwenye katiba, kilichofuata ni maneno yafuatayo toka kwa kagame:
"Kagame has been equivocal in the past, but greets the news of his justice minister's views with belligerence. "Why don't you tell him to step down himself? All those years he's been there, he's not the only one who can be the justice minister," he says. source: Is Kagame Africa's Lincoln or a tyrant exploiting Rwanda's tragic history? | World news | The Observer. Baada ya hapo kagame aka-reshuffle cabinet fasta, jamaa akapigwa chini.
source:
Rwanda: Anastase Murekezi appointed new Prime Minister replacing Dr. Pierre Damien Habumuremyi
Hawa jamaa wanahitaji kufanya sala ya toba watu wote hao wanapotea tuu, unajua rais anauwa kwa kutumia madaraka inadhuru ardhi ya nchi . Tunamajirani hatari sana nimeona kwanini Mkwere alimindi sana Jeshi baada ya kukorofishana na huyu jamaa
 
tatizo unajadiliana na watu wanaoendeshwa na chuki bila kushughulisha ubongo! hawajuwi lolote... wanaleta majina ya watu waliokwepa mkono wa sheria eti ndio "upinzani" huku kwetu kila mtu anashughulishwa kama akipatikana na hatia... kuna wengine ambao wapo magerezani, kunawaliotoka na kuna wanaoelekea huko... lakini baada ya hayo yote tuna dunda noa hapa mitaani! sasa tufanyeje? sheria situmejitilia wenyewe! kwa mfa Lt. Col. Nyamurangwa alipigwa mvua sita akavumilia na akatoka tena alitoka kanawili kweli na hivi ni pastor, upo hapo? hawa Interahamwe kina jMali na Imbonerakure vyuma chuki zao zinawaziba macho/masikio, kero tupu! alafu wanasema hivyo vi pointless vyao eti ndi NONDO... balaa hili lakini hakibadiliki kitu Maziku Masunga Jr. MALCOM LUMUMBA Bukyanagandi
Mkuu habari za Salasala
 
1. Kama kawajibishwa je kawajibishwa kwa lipi kama sio kushindwa kudhibiti taarifa za kiintelijensia kuwa Rwanda ndio inatekeleza uasi Burundi?
2. Historia ya watu wanaofukuzwa Rwanda inajulikana. Naomba nirudie mojawapo ya post zangu za zamani kuhusu hili suala.
Najinukuu....

Kwenye mambo ya reshuflle za Rwanda huwezi kusema hizi comments zetu ni paranoia hata siku moja. Kutoka uwaziri mkuu hadi ubalozi ni DEMOTION. Ni sawa na zile habari za kuachishwa cheo fulani chenye hadhi na kinachojulikana halafu "ukarudishwa wizarani kupangiwa majukumu mengine", ni lugha polite ya kusema UMESHUSHWA CHEO. Kushushwa cheo sio necessarily jambo baya kwa nchi kama Tanzania, ila kwa historia ya Kagame anaposhusha watu vyeo, tena kwa level za aibu za kama hii ya kutoka waziri mkuu kwenda ubalozi, inajulikana. Hivyo si ajabu kwa watu kubashiri kitakachotokea na wala sio paranoia. Tuangalie kesi chache tu:

  1. Kayumba Nyamwasa alivuliwa UKUU WA MAJESHI Rwanda, akapewa UBALOZI India. Baada ya hapo mwenyewe akakimbilia uhamishoni SA. Ilibainika mahakamani SA kwenye kesi ambayo ilifunguliwa kupinga uhalali wa yeye kupewa ukimbizi kuwa, kumbe aliomba hifadhi punde tu baada ya kupewa cheo cha ubalozi, inaelekea alikuwa anajua kabisa kuwa kushushwa cheo Rwanda maana yake nini. Nadhani unajua kilichompata huko SA.
  2. Patrick karegeya alikuwa MKURUGENZI WA USALAMA WA TAIFA, akashushwa cheo kwenda kuwa MSEMAJI WA JESHI, baadae AKAPOTEA kusikojulikana, kumbe alifungiwa kwenye nyumba za usalama wa taifa, akavuliwa vyeo vyote vya kijeshi, akafanikiwa kutorokea South africa, kilichofuatia nadhani unajua.
  3. David Himbara alikuwa katibu mkuu kiongozi, akafukuzwa baada ya kutofautiana na interests za first lady. Baada ya hapo ndugu zake wote walioajiriwa serikalini kuanzia mkewe aliyekuwa mamlaka ya mapato, wajomba, shemeji…anybody related to him, wote wakafukuzwa at the same time! What a coincidence! Akakimbilia Nairobi, huko alinusurika kutekwa na kurudishwa Rwanda (hii mambo ya Rwanda kuteka wanyarwanda nchi za watu ni kawaida sana, google kesi ya mlinzi wa kagame joel mutabazi), kilichomuokoa ni kuwa alikuwa na passport ya Canada sio ya Rwanda (haishangazi, a lot of tutsis waliokuja na kagame wana uraia wa kigeni, hata hapa JF si unawaona? wana passport za TZ wote hawa, lakini mioyo yao iko rwanda!), kwa hiyo kwa kuogopa "wazungu" watekaji wakapotezea. Sasa anaishi uhamishoni South Africa, ambapo analindwa na polisi masaa 24 asiuawe kama karegeya.
  4. Celestin Rwigema alikuwa WAZIRI MKUU, alijiuzulu kutokana na kutokuelewana na bwana mkubwa, baada ya hapo akakimbilia US. Ile kufika tu, huku nyuma akafunguliwa mashtaka ya GENOCIDE. Bahati nzuri marekani haikukubaliana na Rwanda hivyo ikampa ukimbizi, karudi Rwanda baada ya miaka 11 kutokana na kesi ya rwanda kufa.
  5. Theogene rudasingwa aliwahi kuwa balozi wa Rwanda marekani, katibu mkuu wa chama tawala na chief of staff to president kagame, mwaka 2005 aliomba hifadhi mwenyewe US baada ya kufukuzwa na kagame ikulu 2004. Huku nyuma kama kawaida zikaibuka kesi kedekede za kila aina.
  6. Gerald Gahima alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali, baada ya kutokubaliana na kagame "kubaka" sheria na mahakama kwa ujumla kwa kesi zake za genocide zisizo na kichwa wala miguu, akajiuzulu na kwenda uhamishoni, ile anafika tu, huku nyuma akafunguliwa kesi kubwa tu kibao endapo atarudi rwanda kuanzia utapeli, ubakaji n.k. Kwenye hii ya ubakaji believe it or not, anatuhumiwa kumbaka mwanamke mmoja ambaye ilikuja kugundulika mwanamke huyo huyo pia anamshitaki Theogene rudasingwa kwa ubakaji vile vile! It seems mwanamke huyu yuko standby, yoyote atakayepishana na kagame, atapewa kesi ya kumbaka huku mama. Usishangae endapo kesho huyu waziri mkuu "mstaafu" anashitakiwa kwa ubakaji wa mwanamke huyu huyu...Hiyo ndio Rwanda bwana.
  7. Tharcisse Karugarama alikuwa waziri wa sheria, alifanya mahojiano na gazeti la UK, "bahati mbaya" akasahau kuwa Rwanda ni mali ya kagame, eti akadai kuwa Kagame hatagombea tena kama ilivyo kwenye katiba, kilichofuata ni maneno yafuatayo toka kwa kagame:
"Kagame has been equivocal in the past, but greets the news of his justice minister's views with belligerence. "Why don't you tell him to step down himself? All those years he's been there, he's not the only one who can be the justice minister," he says. source: Is Kagame Africa's Lincoln or a tyrant exploiting Rwanda's tragic history? | World news | The Observer. Baada ya hapo kagame aka-reshuffle cabinet fasta, jamaa akapigwa chini.
source:
Rwanda: Anastase Murekezi appointed new Prime Minister replacing Dr. Pierre Damien Habumuremyi
hivi kwa nini unapenda kuvizia? kama watu hawapo basi unatiririka na misumu yako mpaka basi! hao watu tusha wajadili sana na madhambi yao wote yanajulikana... halafu unapofika kwa watu nnaowajuwa fika, tena nje ndani kama GAHIMA na RUDASINGWA nabaki kukuonea huruma tu... hivi umesahau jinsi alivyomfungia ndugu yako kwenye container marekani kwa sababu ya ukabila tu? today is your HERO right?
 
Hamna cha ajabu, ni wajibu wa Rais kubadili kila wakati wakuu wa majeshi na usalama pale anapoona kuna haja. Kiusalama huyu jamaa hana tatizo ataendelea kuishi vizuri Rwanda, ingawa kuna baadhi wanamtabilia ubaya siyo wao ni mungu, au watabiri wa maisha ya wengine.
 
Hawa jamaa majina yao yanafanana sana na ya waTanzania, na wengi majina haya yameshika nafasi za juu nchini, natamani kama Rwanda na Burundi zingekuwa sehemu ya Tanzania kama ilivyo Zanzibar.
Kwahiyo unataka tuzichukue hizo nchi halafu tuzitangaze kama ni wilaya au mikoa ya Tanzania?
 
Wakina murutongore mchambawima1 na Koba wanapita kama hawaoni hii teh teh teh

Hahhaha....tell me something of substance. Huo ndio maana ya uongozi, Kagame habweteki na kulea incompetence..if you are not up to the standards you step aside, right there and then. Rekodi yake speaks for itself. Amekuwa consistent throughout his presidency. Haonei mtu bali anawajibisha mtu ambae anaonekana analegalega. Mtajifunza mengi tu.
 
Ayaaah maskini jamani....

Huyu Kamanda Familia yake ijitahidi aondoke hapo Rwanda mapema sana angalau atasukuma miaka kwa muda fulani. Vinginevyo akibaki hapo Rwanda, mwaka ni mrefu sana "Mkondefu" atafanya yake..!!

Pole sana kwa Familia.. Watawindwa wote na Mkondefu

BACK TANGANYIKA
Huyu Bwana mkubwa ni bingwa wa kueliminate watu asiowapenda ,sasa ajifunze kuishi kama Gen Kayumba Nyamwasa.
 
Lazima atauawa katika mazingira ya kutatanisha, hawezi kumwacha hai na siri zote alizonazo
 
Back
Top Bottom