Makubaliano yanayoyoshinikizwa na Museveni pamoja na mwenzie Kagame ni yale yatakayoendelea kuiweka M23 na vikundi kama vile kubaki kwenye uthibiti wa Eastern Congo kama major stakeholders. Serikali ya Congo inakataa kwa sababu hao Watutsi agenda yao kuu ni kuwa watawala (minority rulers) wa Eastern Congo bila kupitia njia za Kidemokrasia. M23 wanapaswa kusaini mkataba unaokana njia za kivita pamoja na kukubali viongozi wao wakuu washitakiwe kwa uharifu wa kivita na kukihuka haki za binadamu. Museveni na Kagame bado wanawakingia kifua wasiwajibishwe. Serikali ya Congo iko sahihi. Uganda na Rwanda zinapaswa kulaaniwa na kuwekewa vikwazo kwa kuwa ni wafadhili wa ugaidi.Lakini pamoja na hayo yote Mbona m23 na serikali ya DRC hawajasaini mkataba wa amani, wakati pande zote zilihitaji makubaliano??
Lakini pamoja na hayo yote Mbona m23 na serikali ya DRC hawajasaini mkataba wa amani, wakati pande zote zilihitaji makubaliano??
duh!inafanana sana na apache hasa muonekano wa mbele na kwenye mbawa ,kumbe africa kusini wanatisha
mossad007Kweli zinafanana sana huo ndo muundo precise katika attacking hata Mi-24 za warusi ziko hivyo hivyo.. Wasauz wenyewe wanazo 12 tu na walianza hiyo project toka enzi za kina botha Serikali yetu ingepunguza vichwa km Kapuya pale mjengoni ungekuta Nyumbu na Mzinga wanakaribia kutoa vitu km hivyo by 2015.
Mkuu hizi siyo Apache ni Rooivalk na imeundwa na wasouth wenyewe..
mossad007Tafuta kwanini Lt Col Eng JOSEPH SIMBAKALIA alikimbia
Alikimbia toka MZINGA Project
Tafuta wasifu wa kama sikosei Brig Gen MABULA
Aliyekuwa mkuu wa project tajwa
TAfuta kwa nini magari ya Nyumbu hayatengezwi kwa sasa
Bazazi!
mossad007Tafuta kwanini Lt Col Eng JOSEPH SIMBAKALIA alikimbia
Alikimbia toka MZINGA Project
Tafuta wasifu wa kama sikosei Brig Gen MABULA
Aliyekuwa mkuu wa project tajwa
TAfuta kwa nini magari ya Nyumbu hayatengezwi kwa sasa
Bazazi!
mossad007Tafuta kwanini Lt Col Eng JOSEPH SIMBAKALIA alikimbia
Alikimbia toka MZINGA Project
Tafuta wasifu wa kama sikosei Brig Gen MABULA
Aliyekuwa mkuu wa project tajwa
TAfuta kwa nini magari ya Nyumbu hayatengezwi kwa sasa
Bazazi!
Assignment nzito hii mkuu si wengne huko tulishatoka mda ukianza kujifanya unaulizia ulizia unajiweka kwenye radar..!!!
Nenda ata pale Ngere2 kiongozi uone mazingira ya kumlaza komandoo inaskitisha bajet zote za renovation kapuni.Ulaji bandugu
Ulaji bila kujali maslahi ya nchi
Ndio kmojawapo wa sababu ya kufa kwa mradi.
Bazazi!
Mwe, kwani hao m23 bado wapo?
Nenda ata pale Ngere2 kiongozi uone mazingira ya kumlaza komandoo inaskitisha bajet zote za renovation kapuni.
Mimi naona Serikali ya DRC iko sahihi sana kutokimbilia kusaini mkataba wa "amani" na hao watutsi!...watutsi sio watu wa kuaminika hata kidogo!...hao watu wana malengo ya muda mrefu sana, kuhakikisha wanatawala Afrika Mashariki na Kati...wameweza Uganda na Rwanda mpaka sasa.. Na kinachoendelea huko Mashariki ya DRC ni kuendeleza hizo ndoto zao. Nashauri Serikali na vyama vya siasa viwe makini sana na watutsi (huku kwetu wanajiita waha, wahangaza nk) na hasa wanye nyadhifa au waliowahi kuwa na nyadhifa katika Serikali yetu. Vyama vya Siasa kama NCCR Mageuzi wawe macho sana na Katibu Mkuu wao (Bwana Mugisha Ruhuza)!Lakini pamoja na hayo yote Mbona m23 na serikali ya DRC hawajasaini mkataba wa amani, wakati pande zote zilihitaji makubaliano??
Huwezi kufanya mazungumzo ya amani na watutsi, lugha wanayoielewe hawa watu ni kipigo tu basi!....natamani ungekuwa unawajua vizuri hawa watu!....wamejaa kiburi na kulipiza visasi. Warudi kwao rwanda na uganda wawaache WAKONGO na nchi yao!... ni bora tu wafutiliwe mbali kabisa kuwe na amani katika eneo la maziwa makuu!M23 Bado wapo.Ndio maana siku ya ijumaa Serikali kuu ya DRC ilisema haitaki Makubaliano nM23,kitu kinachoashiria kuwa bado wapo.
Na kama serikali ya Kongo imeshinda dhidi ya M23 kwann haikuwakamata Viongozi waandamizi wa hao waasi.
Rwanda pamoja na Uganda zinatakiwa kuipa DRC muungano ili kuusulisha huu msuguano wa kiutawala.Ni mazungumzo tu ndio yatakayoweza kuleta amani ya kudumu DRC.
Mkuu Ruge Opinion, uko sahihi kabisa!.. Hao jamaa malengo yao ni kutawala sio Mashariki ya DRC tu, bali East and Central Africa yote!...Tanzania pia tuwe macho na hawa watu; nahisi kuna watutsi (wanajiita waha au wahangaza) ambao watakuwa wanato support kubwa kwa serikali ya kigali kuwasaidia hao m23 ndugu zao!...kuna watutsi ambao wapo jeshini na wengine wana nyadhifa mbalimbali hapa nchini kama vile wabunge ambao kiukweli wanatakiwa kufuatiliwa nyendo zao kwa karibu sana! hapa kigoma wanakuwaga na mikutano yao ya siri siri sana; kwa mfano niliambiwa kuna jamaa anaitwa Dr Shadrack Kamenya ni mshiriki mzuri wa mikutano hiyo.Makubaliano yanayoyoshinikizwa na Museveni pamoja na mwenzie Kagame ni yale yatakayoendelea kuiweka M23 na vikundi kama vile kubaki kwenye uthibiti wa Eastern Congo kama major stakeholders. Serikali ya Congo inakataa kwa sababu hao Watutsi agenda yao kuu ni kuwa watawala (minority rulers) wa Eastern Congo bila kupitia njia za Kidemokrasia. M23 wanapaswa kusaini mkataba unaokana njia za kivita pamoja na kukubali viongozi wao wakuu washitakiwe kwa uharifu wa kivita na kukihuka haki za binadamu. Museveni na Kagame bado wanawakingia kifua wasiwajibishwe. Serikali ya Congo iko sahihi. Uganda na Rwanda zinapaswa kulaaniwa na kuwekewa vikwazo kwa kuwa ni wafadhili wa ugaidi.