Rwanda: Poor Makenga!! [Tafsiri inahitajika]

Rwanda: Poor Makenga!! [Tafsiri inahitajika]

eRRy

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2009
Posts
1,126
Reaction score
209









[h=1]L'HISTOIRE EST LE JUGE DE CE MONDE[/h][h=2]Rwanda : Mu gihe Runiga yishyuza Makenga imodoka imwe , Kagame Paul we aramusaba gusobanura uko yatanze 2/3 by'intwaro zose z'u Rwanda ![/h]
Zuma-et-Kikwete.png

Kikwete na Zuma berekanye ko bafite ingabo zikomeye muri Kongo

Sultani Makenga yakize byinshi naho ubundi yari kuzabagwa cyangwa agashahurwa nk'uko byagendekeye Musenyeri Nikwigize Phocas kubera ubukubaganyi yagize bwo kugaragaza ububiko bw'intwaro z'u Rwanda! Amakuru menshi ava mu ngabo z'u Rwanda aremeza ko Kagame Paul yari yarashyize ububiko bukomeye bw'intwaro z'u Rwanda i Chanzu muri Kongo kuko hari hujuje ibyangombwa byose byo gukingira igihugu no kurengera ubutegetsi bwa Paul Kagame na FPR mu gihe kingana n'imyaka 100.

Uretse intwaro zo mu kigero kiringaniye zirinda umukuru w'igihugu, intwaro zose ziremereye zari zoherejwe mu bubiko bukomeye bwa Chanzu kuko ariho umwanzi ukomeye ashobora guturuka , Kagame Paul yategetse ko intwaro zose zikomeye bazikura mu mujyi wa Kigali kuko yari afite ubwoba ko zishobora kuzakoreshwa n'abasilikare be bamwivumbuyeho cyangwa bakamurasa ari mu kirere nk'uko yishe Perezida Habyarimana Juvénal!

Mu gitero gikaze cyari kiyobowe n'ingabo za Tanzaniya n'indege z'igihugu cy'Afurika y'epfo ,ingabo za Kongo zashoboye gutungura ingabo z'u Rwanda zari ku musozi wa Chanzu ahari ikigega gikomeye k'intwaro z'u Rwanda zashoboraga gufata intara ya Kivu yose yo muri Kongo. Ubwo bubiko bwashyizwe i Chanzu kuva kera ariko bukomeza gucungwa n'u Rwanda Kongo itabizi, n'iyi ntambara yo kwirukana M23/RDf yari igiye kurangira ubwo bubiko butamenyekanye ariko ubukubaganyi bwa Sultani Makenga bwatubye buvumburwa .

Ubwo ONU yari imaze kuvuga ko M23/RDF yitabye Imana , nibwo Makenga yagize umujinya afata imbunda nini cyane yari mu bubiko i Chanzu maze arasa i Bunagana , yica abaturage abandi barahunga , ibyo byatumye ONU ifata icyemezo cyo kohereza ingabo kurugamba kugira ngo iyo ntwaro ifite ubukana ifatwe, ibyo nibyo byaviriyemo Kagame gutakaza ububiko bwose bw'intwaro z'igihugu cy'u Rwanda bungana na 2/3 by'intwaro zose igihugu gifite, kubera ubwoba , Makenga yashatse gutwika izo ntwaro ariko ntizashya zose , kuburyo Kongo yashoboye kubona umunyago w' intwaro n'amasasu bipima toni 300. Ntabwo ari intwaro gusa zafashwe kuko hari n'abana b'ababanyarwanda bahafatiwe !Nimwirebere mu mafoto izo ntwaro zafashwe ubu zikaba zaratumye Kagame atagishobora kuvuga !

Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M23_Page_0.png
Uyu ni umwana w'umunyarwanda ufite imyaka 17, akaba yitwa Nsengiyumva mwene Twagirayezu Ladislas na Mukankubito Béatrice, batuye i Butare, akaba yarazanywe muri M23/RDF na leta ya Kagame ari kumwe n'abandi bana 750 akaba yaratoraguwe i Chanzu !

Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-1.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-2.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-3.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-4.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-5.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-6.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M23_Page_1.png
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-8.png


Dore abagize uruhare rukomeye mu gutsinda iyi ntambara
Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-9.png
Col Mamadou Ngala n'Umuyobozi w'intara ya Kivu y'amajyaruguru Julien Paluku bari mu bantu bitwaye neza cyane kuri uru rugamba!

Voici-les-images-des-munitions-laiss--es-par-le-M-copie-10.png


Hasi aha murahabona Indege z'Afurika y'epfo zakoze akantu
Indege_Page_4.png
Indege_Page_2.png
Indege_Page_1.png
Indege_Page_3.png



Ubwanditsi
source:


VEN 8 NOV 2013Rwanda : Mu gihe Runiga yishyuza Makenga imodoka imwe , Kagame Paul we aramusaba gusobanura uko yatanze 2/3 by'intwaro zose z'u Rwanda ! - L'HISTOIRE EST LE JUGE DE CE MONDE










 
Jamaa anasema kagame alificha zana za kivita nzito
kwenye milima ya chanzu.
Anasema hapo mwanzo kagame aliamuru siraha zote nzito zilizokuwa mjini kigali zihamishwe akihofia waasi wanaweza kuziteka na kuzitumia kama walivyo zitumia kumua habyarimana.
ndipo wakaamua 2/3 ya siraha zote za rwanda zikafichwe kwenye hiyo milima ya chanzu.
Anaendelea kusema majeshi ya tanzania yakishirikiana na ndege za afrika kusini yalimuonyesha kagame kwamba yeye si chochote mbele yao baada ya kumfurumusha na kuteka hiyo shehena za kivita kitu ambacho kimemfanya kagame awe mpole.
Hiyo shehena ilikua na uwezo wa kuisambalatisha kivu yote. m23 walijaribu kuichoma moto lakini iligoma kuwaka, ni vifaa vichache vilivyo ungua. Waliweza kukamata zana nzito nzito za kivita na risasi tani 300.
UNO itatumia hizo siraha kama ushahidi kwamba kagame anahusika. Vilevile walikamatwa watoto wa kinyarwanda chini ya miaka 17(pichani) wakiwa vitani.
kamaliza kwa kuweka picha za ndege za kivita za africa kusini.
(nimeelezea baadhi niliyo yaelewa). mia
 
Jamaa anasema kagame alificha zana za kivita nzito
kwenye milima ya chanzu.
Anasema hapo mwanzo kagame aliamuru siraha zote nzito zilizokuwa mjini kigali zihamishwe akihofia waasi wanaweza kuziteka na kuzitumia kama walivyo zitumia kumua habyarimana.
ndipo wakaamua 2/3 ya siraha zote za rwanda zikafichwe kwenye hiyo milima ya chanzu.
Anaendelea kusema majeshi ya tanzania yakishirikiana na ndege za afrika kusini yalimuonyesha kagame kwamba yeye si chochote mbele yao baada ya kumfurumusha na kuteka hiyo shehena za kivita kitu ambacho kimemfanya kagame awe mpole.
Hiyo shehena ilikua na uwezo wa kuisambalatisha kivu yote. m23 walijaribu kuichoma moto lakini iligoma kuwaka, ni vifaa vichache vilivyo ungua. Waliweza kukamata zana nzito nzito za kivita na risasi tani 300.
UNO itatumia hizo siraha kama ushahidi kwamba kagame anahusika. Vilevile walikamatwa watoto wa kinyarwanda chini ya miaka 17(pichani) wakiwa vitani.
kamaliza kwa kuweka picha za ndege za kivita za africa kusini.
(nimeelezea baadhi niliyo yaelewa). mia

Da kibantu hiki ni kigumu hatari. Lakini wenzetu wa mkoa wa Kagera hasa Karagwe wanaweza kuokoteza maneno kadhaa, kama kaka ulivyofanya. Angalau concept tumeipata, mwenye uelewa aitafsiri yote. Kila Paragraph aichukue aitafsiri tutashukuru.
 
Hizo apache helicopter huwaga ni noumer sana.
 
walitaka kuchoma kupoteza ushahidi, sasa mambo ni wazi, kichwa kipo sehemu gani au vichwa vipo sehemu gani
 
Da kibantu hiki ni kigumu hatari. Lakini wenzetu wa mkoa wa Kagera hasa Karagwe wanaweza kuokoteza maneno kadhaa, kama kaka ulivyofanya. Angalau concept tumeipata, mwenye uelewa aitafsiri yote. Kila Paragraph aichukue aitafsiri tutashukuru.## #TUNASHUKURU SANAa TUMEELAWA ASANTE SANA
 
Jamaa anasema kagame alificha zana za kivita nzito
kwenye milima ya chanzu.
Anasema hapo mwanzo kagame aliamuru siraha zote nzito zilizokuwa mjini kigali zihamishwe akihofia waasi wanaweza kuziteka na kuzitumia kama walivyo zitumia kumua habyarimana.
ndipo wakaamua 2/3 ya siraha zote za rwanda zikafichwe kwenye hiyo milima ya chanzu.
Anaendelea kusema majeshi ya tanzania yakishirikiana na ndege za afrika kusini yalimuonyesha kagame kwamba yeye si chochote mbele yao baada ya kumfurumusha na kuteka hiyo shehena za kivita kitu ambacho kimemfanya kagame awe mpole.

Kutekwa kwa silaha hizo ni pigo kubwa kwa Rwanda.Uchumi wa Rwanda na hela ya Rwanda Vitaanza kuporomoka sana muda si mrefu kwa kuwa na mahitaji makubwa ya pesa za kigeni za manunuzi ya silaha kurudishia ya silaha zilizotekwa.
 
Kagame anakiburi cha Kitutsi kujiona the superior race among others na ki ukweli yeye binafsi ni talented kwenye battlefield according to Senior CIA Officers lakin hiyo haiifanyi nchi kua tishio kiulinzi kwa taifa km Tanzania lenye miundombinu ya Usalama iliyojengwa kwa miaka mingi na ya siri zaid katika Africa.. Ukiambiwa hiyo misaada ya Kijeshi wanayopata Rwanda kutoka USA utacheka. Military uniforms, kusaidia budget ya mishahara, Kujenga Chuo cha Mafunzo RMA, kuwalipa trainers, Military scholarships, na light weapons tofaut na aid km za Israel na Egypt ambazo ni heavy weaponry.. Rwanda is still far from handling the mighty JWTZ sophiscated Himars au MLRS-100.
 
Lakini pamoja na hayo yote Mbona m23 na serikali ya DRC hawajasaini mkataba wa amani, wakati pande zote zilihitaji makubaliano??
 
Lakini pamoja na hayo yote Mbona m23 na serikali ya DRC hawajasaini mkataba wa amani, wakati pande zote zilihitaji makubaliano??

Huwezi lipa mafao raisi uliyemshinda kwenye uchaguzi unamlipa mafao raisi aliyestaafu baada ya kumaliza kipindi cha utawala vile vile huwezi saini mkataba wa amani na mtu uliyepigana naye ukamdunda na kumvurumishia mbali.
 
Sio Apache iyo inaitwa Rovaalk South African made ndio imeanza kufanya kazi Congo.. AH-64D Apache ni habari nyingne kiongozi.
duh!inafanana sana na apache hasa muonekano wa mbele na kwenye mbawa ,kumbe africa kusini wanatisha
 
Kwa kifaransa hiyo picha ya mtoto ina maneno yafuatayo

tarehe na julianepuluku.com
Askari mtoto Sengiyumnva
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom