Rwanda: Poor Makenga!! [Tafsiri inahitajika]

Rwanda: Poor Makenga!! [Tafsiri inahitajika]

Jamaa anasema kagame alificha zana za kivita nzito
kwenye milima ya chanzu.
Anasema hapo mwanzo kagame aliamuru siraha zote nzito zilizokuwa mjini kigali zihamishwe akihofia waasi wanaweza kuziteka na kuzitumia kama walivyo zitumia kumua habyarimana.
ndipo wakaamua 2/3 ya siraha zote za rwanda zikafichwe kwenye hiyo milima ya chanzu.
Anaendelea kusema majeshi ya tanzania yakishirikiana na ndege za afrika kusini yalimuonyesha kagame kwamba yeye si chochote mbele yao baada ya kumfurumusha na kuteka hiyo shehena za kivita kitu ambacho kimemfanya kagame awe mpole.
Hiyo shehena ilikua na uwezo wa kuisambalatisha kivu yote. m23 walijaribu kuichoma moto lakini iligoma kuwaka, ni vifaa vichache vilivyo ungua. Waliweza kukamata zana nzito nzito za kivita na risasi tani 300.
UNO itatumia hizo siraha kama ushahidi kwamba kagame anahusika. Vilevile walikamatwa watoto wa kinyarwanda chini ya miaka 17(pichani) wakiwa vitani.
kamaliza kwa kuweka picha za ndege za kivita za africa kusini.
(nimeelezea baadhi niliyo yaelewa). mia


kamachumu, muleba, kashozi, au wapi?
 
Komando wa kiukweli halali kwenye godoro wala kwenye nyumba self contained anakolala na kuamka anajua yeye na kambi ya makomandoo haina majengo ya ku-renovate saa yoyote wao ni juu kwa juu.Kuvunja kambi na kuanza ingine kitu kidogo tu.

Ukisema hivyo wengne watasema komando haitaji mke wala watoto wala mshahara wala matibabu.. Skia kijana.. Hatuendi ivyo.. uku mtaani mnapasive mambo tofauti sana na reality.. Kuna civil life na camp life..!! Komandoo ni mwanadamu km ww na silaha yake ya kwanza ni "mind" km kuna wajuzi humu watakwambia. Sasa ukisha distruct mind hivi vingne havitakua effective ili awe na proper mind ni kumtengenezea mazingira mazuri ya utimamu wakat wowote. Iwe vitani iwe amani. Maisha anayoishi ni moja wapo ya phschology treatment..!!! Ambayo ina impact in his mind. It can be negative it can be positive. Hata M23 wana makomandoo lakini unafikiri wanafanana performance na wa kwetu au Navy SEALS..??
 
Nyegela Waitu..!
Jamaa anasema kagame alificha zana za kivita nzito
kwenye milima ya chanzu.
Anasema hapo mwanzo kagame aliamuru siraha zote nzito zilizokuwa mjini kigali zihamishwe akihofia waasi wanaweza kuziteka na kuzitumia kama walivyo zitumia kumua habyarimana.
ndipo wakaamua 2/3 ya siraha zote za rwanda zikafichwe kwenye hiyo milima ya chanzu.
Anaendelea kusema majeshi ya tanzania yakishirikiana na ndege za afrika kusini yalimuonyesha kagame kwamba yeye si chochote mbele yao baada ya kumfurumusha na kuteka hiyo shehena za kivita kitu ambacho kimemfanya kagame awe mpole.
Hiyo shehena ilikua na uwezo wa kuisambalatisha kivu yote. m23 walijaribu kuichoma moto lakini iligoma kuwaka, ni vifaa vichache vilivyo ungua. Waliweza kukamata zana nzito nzito za kivita na risasi tani 300.
UNO itatumia hizo siraha kama ushahidi kwamba kagame anahusika. Vilevile walikamatwa watoto wa kinyarwanda chini ya miaka 17(pichani) wakiwa vitani.
kamaliza kwa kuweka picha za ndege za kivita za africa kusini.
(nimeelezea baadhi niliyo yaelewa). mia
 
Col. MUKAMASIMBA hawezi kutoa tafsiri sahihi wala hawezi kuja hapa ataumbuka

Acha uzushi,unaona kagame mwehu wa kuhifadhi silaha congo,kwani penye usalama ni congo au rwanda? halafu huo uzi wameukopi toka kwa gazeti la upinzani wa rwanda kwahiyo hakuna lilote la maana,je silaha ni mabox ya risasa? hizo ni silaha za M23 wakuu.
 
Acha uzushi,unaona kagame mwehu wa kuhifadhi silaha congo,kwani penye usalama ni congo au rwanda? halafu huo uzi wameukopi toka kwa gazeti la upinzani wa rwanda kwahiyo hakuna lilote la maana,je silaha ni mabox ya risasa? hizo ni silaha za M23 wakuu.

We jamaa tusaidie bas tafsiri apo..
 
images
images
Rooivalk Helicopter made in South Africa!!
 
Acha uzushi,unaona kagame mwehu wa kuhifadhi silaha congo,kwani penye usalama ni congo au rwanda? halafu huo uzi wameukopi toka kwa gazeti la upinzani wa rwanda kwahiyo hakuna lilote la maana,je silaha ni mabox ya risasa? hizo ni silaha za M23 wakuu.

Umesema "hizo silaha ni za M23 wakuu".... sasa M23 na kagame na museveni si ni kitu kile kile.. mtaweweseka sana mwaka huu. MUNGU lazima awaumbue nyie wauwaji...
 
Umesema "hizo silaha ni za M23 wakuu".... sasa M23 na kagame na museveni si ni kitu kile kile.. mtaweweseka sana mwaka huu. MUNGU lazima awaumbue nyie wauwaji...

Huyu interahamwe sijui limeibukia wapi?just go away tumechoka na hate zako
 
Duh! Ndio Maana Jamaa Kawa Mpole Gafla. Alafu JWTZ Nao Wamezidi Kuwa Wasili.

​Acha JWTZ wawe wasiri tu maana wanajua kuna manunganyembe yanayojifanya ni ma Tz kumbe ni banyamulenge kama akina Koba,mukamasimba et al...hayakawii kuvuta uzi kwa fido kumpa taarifa za kilichojiri...haahaaha.
 
Komando wa kiukweli halali kwenye godoro wala kwenye nyumba self contained anakolala na kuamka anajua yeye na kambi ya makomandoo haina majengo ya ku-renovate saa yoyote wao ni juu kwa juu.Kuvunja kambi na kuanza ingine kitu kidogo tu.

duu hii ni babakubwa!!!
 
Jamaa anasema kagame alificha zana za kivita nzito
kwenye milima ya chanzu.
Anasema hapo mwanzo kagame aliamuru siraha zote nzito zilizokuwa mjini kigali zihamishwe akihofia waasi wanaweza kuziteka na kuzitumia kama walivyo zitumia kumua habyarimana.
ndipo wakaamua 2/3 ya siraha zote za rwanda zikafichwe kwenye hiyo milima ya chanzu.
Anaendelea kusema majeshi ya tanzania yakishirikiana na ndege za afrika kusini yalimuonyesha kagame kwamba yeye si chochote mbele yao baada ya kumfurumusha na kuteka hiyo shehena za kivita kitu ambacho kimemfanya kagame awe mpole.
Hiyo shehena ilikua na uwezo wa kuisambalatisha kivu yote. m23 walijaribu kuichoma moto lakini iligoma kuwaka, ni vifaa vichache vilivyo ungua. Waliweza kukamata zana nzito nzito za kivita na risasi tani 300.
UNO itatumia hizo siraha kama ushahidi kwamba kagame anahusika. Vilevile walikamatwa watoto wa kinyarwanda chini ya miaka 17(pichani) wakiwa vitani.
kamaliza kwa kuweka picha za ndege za kivita za africa kusini.
(nimeelezea baadhi niliyo yaelewa). mia

Ndio sababu Museveni,amekubali kumshauri Kagame aongee na waasi,na kuanza kufanya mchakato wa kujiunga na umoja wa afrika ya kati
 
m23 washapigwa wamakimbia mkataba wa nn tena!!!, wao kama vidume warudi wachezee kichapo, mana wakati wanamiliki goma waliambiwa waweke siraha chini hawakutaka.
wao sasa hv ni mazungumzo ya jinsi gani watafikishwa mahakaman tu basi na sio mazungumzo ya kupewa power

Lakini pamoja na hayo yote Mbona m23 na serikali ya DRC hawajasaini mkataba wa amani, wakati pande zote zilihitaji makubaliano??
 
Huyu interahamwe sijui limeibukia wapi?just go away tumechoka na hate zako

Nyie watus waasi mliomuua juvenaly ibryhmaana kiama chenu kmefka mlimuua prof.mwaikyusa baada ya kutoa ushaidi dhaiir kuwa kagame ni mtuhumiwa namba moja aliyesababsha mauaji ya kmbari lazma icc/the heague imuusu shame on u kagame umemuweka lockup na kumnyoa nywele mpnzan wako kisa mhutu ? mwsho wako umefka TANZANIA umegusa pabaya Tz jeshi la afrca na South Africa ulaya ya Afrca mtaturambua naskia mnajiaandaa kujtoa East Afrca mnaamia central afrca...tuwemwalka huyu kagame mpuuzi kwenye jumuiya ya East Africa anataka kututawala? ? Shame on u kagame utatujua
 
Nyie watus waasi mliomuua juvenaly ibryhmaana kiama chenu kmefka mlimuua prof.mwaikyusa baada ya kutoa ushaidi dhaiir kuwa kagame ni mtuhumiwa namba moja aliyesababsha mauaji ya kmbari lazma icc/the heague imuusu shame on u kagame umemuweka lockup na kumnyoa nywele mpnzan wako kisa mhutu ? mwsho wako umefka TANZANIA umegusa pabaya Tz jeshi la afrca na South Africa ulaya ya Afrca mtaturambua naskia mnajiaandaa kujtoa East Afrca mnaamia central afrca...tuwemwalka huyu kagame mpuuzi kwenye jumuiya ya East Africa anataka kututawala? ? Shame on u kagame utatujua

Upuuzi mtupu hata unachoandika wewe mwenyewe huelewi na ndio mliojaa wengi humu,kweli ujinga mzigo!!
 
imekuuma sana sio?. Young Tanzanian kaongea ukweli. mia

Na wataumia sana hawa watutsi! We caught them in surprise, hawakujua waTZ tunajua uchafu na ushetani wao wote na mipango miovu waliyokuwa nayo.. na bado mtashangaa sana tutakawavurumua kwenye vikao vyenu vya siri vya kupanga ushetani wenu. This is TZ si Uganda wala DRC...mtachoka wenyewe! It is GOD's time to reveal your evil deeds! @ koba and company. ... Figganigga...hii imemuingia vizuri koba..
 
Last edited by a moderator:
Acha uzushi,unaona kagame mwehu wa kuhifadhi silaha congo,kwani penye usalama ni congo au rwanda? halafu huo uzi wameukopi toka kwa gazeti la upinzani wa rwanda kwahiyo hakuna lilote la maana,je silaha ni mabox ya risasa? hizo ni silaha za M23 wakuu.

na hata hiyo mizinga hauioni? acha unafiki rwanda mwaka huu ni wenu mkisalimika itakuwa sawa na kumtahiri tembo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom