Rwanda ni Kagame, na Kagame ni Rwanda

Rwanda ni Kagame, na Kagame ni Rwanda

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,608
Reaction score
14,552
Ati nani kasema wanyarwanda hawawezi maamuzi magumu?
Rwanda wameamua kumuachia kiti cha urais, Kagame mpaka siku atakayotangulia mbele za haki.

Hayo ndo tunaita maamuzi magumu, ya kuhalalisha ufalme ndani ya Rwanda.
Leo Kagame aba miaka 58 na nasikia hakuna mtu wa kusema fyoko kwa miaka 17 ijayo!

Yaani mpaka Kagame atakapokuwa na miaka 75!!!
Sasa nani wa kubisha, Kagame ni Rwanda na Rwanda ni Kagame, hayo hayatuhusu sie wa nje ya mipaka ya Rwanda.

Tatizo litakalotokea ni vijana wadogo walio na miaka 25 au 30 leo nchini Rwanda.
Niaminini, baada ya miaka kumi tu wataanza kuuliza ni majuha gani waliwawekea mfalme Kagame ambaye ameanza kuota kibyongo kwa uzee!

Nkurunzina tulimwambia akakataa, sasa hivi anasema wamemloga .
Wale wananchi waliompenda na wakampa miaka mingine kuendelea na madaraka ya urais, nani kwapa maharage na sasa wanamrushia risasi?

Rule Kagame Rule! Rwanda is all yours.
 
Du!
Wachangiaji mnashindwa kuona the burning contradiction inherent!
 
Ati nani kasema wanyarwanda hawawezi maamuzi magumu?
Rwanda wameamua kumuachia kiti cha urais, Kagame mpaka siku atakayotangulia mbele za haki.

Hayo ndo tunaita maamuzi magumu, ya kuhalalisha ufalme ndani ya Rwanda.
Leo Kagame aba miaka 58 na nasikia hakuna mtu wa kusema fyoko kwa miaka 17 ijayo!

Yaani mpaka Kagame atakapokuwa na miaka 75!!!
Sasa nani wa kubisha, Kagame ni Rwanda na Rwanda ni Kagame, hayo hayatuhusu sie wa nje ya mipaka ya Rwanda.

Tatizo litakalotokea ni vijana wadogo walio na miaka 25 au 30 leo nchini Rwanda.
Niaminini, baada ya miaka kumi tu wataanza kuuliza ni majuha gani waliwawekea mfalme Kagame ambaye ameanza kuota kibyongo kwa uzee!

Nkurunzina tulimwambia akakataa, sasa hivi anasema wamemloga .
Wale wananchi waliompenda na wakampa miaka mingine kuendelea na madaraka ya urais, nani kwapa maharage na sasa wanamrushia risasi?

Rule Kagame Rule! Rwanda is all yours.
Hilo fumbo hata Kagame hawezi kulifumbua, until its too late!!!
 
Hii itakuja kuathiri Rwanda yenyewe, ikiwa kagame amekufa au kaondoka madarakani ataekuja atatawala bila kikomo Hapo ndio watajuta
 
Kwaio asipokuwepo Kagame nadhani atatawala mke wake au watoto wake aisee...hahaha
 
Hakuna namna nyingine atawale tu, wale interahamwe waendelee kujificha Kongo
 
Mleta topic unajulikana ni Kagame hater na huu utumbo wako peleka kwa interahamwe wenzako,Rwandese wameshaongea na Kagame ataendelea kuwa raisi
 
Mleta topic unajulikana ni Kagame hater na huu utumbo wako peleka kwa interahamwe wenzako,Rwandese wameshaongea na Kagame ataendelea kuwa raisi

Na ww ni Hutu hater.
 
Ati nani kasema wanyarwanda hawawezi maamuzi magumu?
Rwanda wameamua kumuachia kiti cha urais, Kagame mpaka siku atakayotangulia mbele za haki.

Hayo ndo tunaita maamuzi magumu, ya kuhalalisha ufalme ndani ya Rwanda.
Leo Kagame aba miaka 58 na nasikia hakuna mtu wa kusema fyoko kwa miaka 17 ijayo!

Yaani mpaka Kagame atakapokuwa na miaka 75!!!
Sasa nani wa kubisha, Kagame ni Rwanda na Rwanda ni Kagame, hayo hayatuhusu sie wa nje ya mipaka ya Rwanda.

Tatizo litakalotokea ni vijana wadogo walio na miaka 25 au 30 leo nchini Rwanda.
Niaminini, baada ya miaka kumi tu wataanza kuuliza ni majuha gani waliwawekea mfalme Kagame ambaye ameanza kuota kibyongo kwa uzee!

Nkurunzina tulimwambia akakataa, sasa hivi anasema wamemloga .
Wale wananchi waliompenda na wakampa miaka mingine kuendelea na madaraka ya urais, nani kwapa maharage na sasa wanamrushia risasi?

Rule Kagame Rule! Rwanda is all yours.

Huu ni upofu wakuona mbali unafikiri. Unafikiri wapo salama? Lahasha wametega boom ambalo even ten years 2come litalipuka. At list wangeachiana vijiti kuleta umoja wa kitaifa ila sasa wamefikiri umoja wao ni Kagame jambo ambalo sii kweli na mwisho lazima wajutie maamuz wameyafanya! Rwanda wamesahau histor na wanarudia yale yale yalisababisha wao kwa wao kuchinjana.
 
Huu ni upofu wakuona mbali unafikiri. Unafikiri wapo salama? Lahasha wametega boom ambalo even ten years 2come litalipuka. At list wangeachiana vijiti kuleta umoja wa kitaifa ila sasa wamefikiri umoja wao ni Kagame jambo ambalo sii kweli na mwisho lazima wajutie maamuz wameyafanya! Rwanda wamesahau histor na wanarudia yale yale yalisababisha wao kwa wao kuchinjana.
Soma vizuri mada na uone the irony katika kumtengeneza "mfalme" Kagame!
 
Ninaamini hapo kuna marekebisho katika katiba hivyo ni vema wakaheshimiwa wana Rwanda viva kagame
 
Mleta topic unajulikana ni Kagame hater na huu utumbo wako peleka kwa interahamwe wenzako,Rwandese wameshaongea na Kagame ataendelea kuwa raisi
Hayo ni mawazo yako ambayo hayana tija.
Ukishajiweka kwenye kona ya kukubali maoni toka kambi fulani tu, unajipunguzia uwezo wa kufikiri.
Ukikubali kufugwa , utafugika tu.
 
Hii itakuja kuathiri Rwanda yenyewe, ikiwa kagame amekufa au kaondoka madarakani ataekuja atatawala bila kikomo Hapo ndio watajuta
Naona umeona mbali sana.
Kagame is simply covering his back kwa wale aliowaua.
 
Hayo ni mawazo yako ambayo hayana tija.
Ukishajiweka kwenye kona ya kukubali maoni toka kambi fulani tu, unajipunguzia uwezo wa kufikiri.
Ukikubali kufugwa , utafugika tu.
na wewe vilevile ukileta vitu ambavyo umeviandika kama unakimbizwa na mtu watu lazima wakuone mzushi au unaupande unao egamia, kwani Germany ni ya Angela Merkel? unajuwa kachaguliwa mara ngapi? nashindwa hata kukuelewa, vijana wenye miaka kati ya 25-30 hawajuwi wanachokifanya? kama una hiyo miaka na bado unaishi kwa wazazi wako, nakushauri utimuwe mapema lasivyo utaendelea kutojiamini kwenye kila kitu utakacho fanya...
Nkurunziza mlimwambia akakataa, je nini kilichofwata? nyota njema uonekana mapema wewe... hata mimi nilivyoona Imbonerakure zimeanza training nilijuwa tu yaleyale mambo ya kina Habyarimana ya Hutu-power yameanza, achana na sisi chaguo tushalifanya na hivi tunaendelea kuchapa kazi! historia inatuambia kumpata kiongozi makini ni bahati! tena sanasana hii mitaa yetu ndio usiseme kabisa... mara ya mwisho ilikuwa kipindi cha mzee Nyerere(RIP) alipotoka tu unajuwa kilichofwata! Raisi wetu bado kijana na hatuna mda wa kutest wengine, do you remember vision 2020? then Kagame is the right man to lead... any question?
 
Back
Top Bottom