Rwanda launches the first ever Satellite in its skies

Rwanda launches the first ever Satellite in its skies

Wakati huo korosho za wakulima zinaotea kwenye magunia kwa kukosa mnunuzi
SASA kama mnamind Magu kununua Bombadia vp akirusha zaga?
Na wote tunajua JPM huwa hana utani,kesho anaweza kwenda shopping kununua satelite
IMG-20190227-WA0001.jpeg
FB_IMG_1550766064153.jpeg


In God we Trust
 
Rwanda wanatupumbaza ili watuwachie mavumbi na tayari washatuwacha
Hiki ki nchi 'kiRwanda' kinavyokuzwa....!! It is too much....it is unfair to compare na 'LiTanzania' .

In God we Trust
 
Walikuwa wanawadanganya wakulima wa korosho kuwa watazinunua kwa siku 2 tu lkn sasa ni miezi inadunda na zinaoza na wanaramba matapishi yao
wakati nyie mlipokua mnashangilia kumpokea Lowasa wengine walikua wanashangilia kuhusiana na nini ??
IMG-20190227-WA0001.jpeg
FB_IMG_1550766064153.jpeg
FB_IMG_1551551779566.jpeg


In God we Trust
 
Lumumba bwana!

Wanafikiri satellite ni mandazi ata alfajiri unayapata.

Young kilimanjaro
 
Jamani duniani kuna vituko wakati wenzetu wana rusha satellite yao angani sisi huku hatulali kwa furaha lowasa kurejea ccm!!!View attachment 1036309

In God we Trust
Kwa hiyo asiposhangiliwa ndio setlaiti itarushwa?vingapi Tanzania imeizidi Rwanda au unajitoa tu ufahamu,b?asi nawewe unashangaza mbona hujakuwa mrefu na mwembamba kama wanyarwanda
 
SASA kama mnamind Magu kununua Bombadia vp akirusha zaga?
Na wote tunajua JPM huwa hana utani,kesho anaweza kwenda shopping kununua satelite
Na alivyo na GUNDU inaweza ikalipuka kabla haijafika kwenye air space
 
Back
Top Bottom