Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Rwanda imeruhusu wageni kuchukua visa kila wanapowasili na hivyo kumekuwa na ongezeko la wageni kwa 150% ukilinganisha na miaka iliyopita. Wageni wanaingia kwa sababu tofauti wengine wamekuwa wachangiaji wakubwa katika uchumi wa nchi hiyo. hili tunalionaje, wageni wanapoingia kwa uwingi na usalama unaimarishwa je ni fursa au.
source: Rwanda TV 23.00PM NEWS
source: Rwanda TV 23.00PM NEWS