Rwanda iungane na Tanzania kuwa nchi moja

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,902
52,003
Baada ya kuangalia Rwanda na kuona ambavyo imetulia na haijazalisha mkimbizi hata mmoja kuja Tanzania kwa muda mrefu wa utawala wa Kagame. Naiona sasa kama nchi yenye amani na utulivu kama Tanzania inayoweza endana na mila na desturi za amani na utulivu walizonazo watanzania.

Nashauri bunge lao lianze mchakato wa kuomba Rwanda ijiunge na Tanzania tuwe nchi moja.

Yaani Tanzania mpya iwe muungano wa Tanzania bara, Zanzibar na Rwanda.
 
Hapana aise, bado bado kwanza, biashara ndio iimarishwe kwanza.
 
Baada ya kuangalia Rwanda na kuona ambavyo imetulia na haijazalisha mkimbizi hata mmoja kuja Tanzania kwa muda mrefu wa utawala wa Kagame Naiona sasa kama nchi yenye amani na utulivu kama Tanzania inayoweza endana na mila na desturi za amani na utulivu walizonazo watanzania.
nashauri bunge lao lianze mchakato wa kuomba Rwanda ijiunge na tanzania tuwe nchi moja.Yaani Tanzania mpya iwe muungano wa Tanzania bara,Zanzibar na Rwanda.
Wanyarwanda wote wangeolewa tz
 
Ukiwaambia watutsi hilo hata leo watashangilia lakini nnakuhakikishia miaka 3 tu tutaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe humu ndani ya nchi.

Hao ni watu hatari sana ambao kwao ni mwiko kutawaliwa na wahutu aka wabantu. Wakitawaliwa na mbantu ujuwe wapo mbioni kufanya kila hila wamuondoshe hata damu ya mamilioni imwagike kwao si kitu mradi tu mbantu asiwatawale.

Sasa imagine watawaliwe na Magu!

Kasheshe.
 
Baada ya kuangalia Rwanda na kuona ambavyo imetulia na haijazalisha mkimbizi hata mmoja kuja Tanzania kwa muda mrefu wa utawala wa Kagame Naiona sasa kama nchi yenye amani na utulivu kama Tanzania inayoweza endana na mila na desturi za amani na utulivu walizonazo watanzania.
nashauri bunge lao lianze mchakato wa kuomba Rwanda ijiunge na tanzania tuwe nchi moja.Yaani Tanzania mpya iwe muungano wa Tanzania bara,Zanzibar na Rwanda.

Ukishakula nyama ya mtu utataka uendelee. Naona umenogewa baada ya kuila nyama ya wazanzibari.

Lakini huko Chigali watu ni wajanja hamuwawezi
 
Baada ya kuangalia Rwanda na kuona ambavyo imetulia na haijazalisha mkimbizi hata mmoja kuja Tanzania kwa muda mrefu wa utawala wa Kagame Naiona sasa kama nchi yenye amani na utulivu kama Tanzania inayoweza endana na mila na desturi za amani na utulivu walizonazo watanzania.
nashauri bunge lao lianze mchakato wa kuomba Rwanda ijiunge na tanzania tuwe nchi moja.Yaani Tanzania mpya iwe muungano wa Tanzania bara,Zanzibar na Rwanda.
TATIZO:
Nani atakubali kuachia madaraka Kati ya hawa watatu?
 
Ukiwaambia watutsi hilo hata leo watashangilia lakini nnakuhakikishia miaka 3 tu tutaanza kuuana wenyewe kwa wenyewe humu ndani ya nchi.

Hao ni watu hatari sana ambao kwao ni mwiko kutawaliwa na wahutu aka wabantu. Wakitawaliwa na mbantu ujuwe wapo mbioni kufanya kila hila wamuondoshe hata damu ya mamilioni imwagike kwao si kitu mradi tu mbantu asiwatawale.

Sasa imagine watawaliwe na Magu!

Kasheshe.
Watutsi ni wabantu pia.nenda ka google.
 
Baada ya kuangalia Rwanda na kuona ambavyo imetulia na haijazalisha mkimbizi hata mmoja kuja Tanzania kwa muda mrefu wa utawala wa Kagame Naiona sasa kama nchi yenye amani na utulivu kama Tanzania inayoweza endana na mila na desturi za amani na utulivu walizonazo watanzania.
nashauri bunge lao lianze mchakato wa kuomba Rwanda ijiunge na tanzania tuwe nchi moja.Yaani Tanzania mpya iwe muungano wa Tanzania bara,Zanzibar na Rwanda.
Nitafurahi sana rais akiwa Paul Kagame! naimani hata sisi uchumi wetu utapanda
 
Baada ya kuangalia Rwanda na kuona ambavyo imetulia na haijazalisha mkimbizi hata mmoja kuja Tanzania kwa muda mrefu wa utawala wa Kagame Naiona sasa kama nchi yenye amani na utulivu kama Tanzania inayoweza endana na mila na desturi za amani na utulivu walizonazo watanzania.
nashauri bunge lao lianze mchakato wa kuomba Rwanda ijiunge na tanzania tuwe nchi moja.Yaani Tanzania mpya iwe muungano wa Tanzania bara,Zanzibar na Rwanda.


tuungane nao ili iweje!?
 
Back
Top Bottom