Rwanda inaongoza kwa Elimu East Africa

Rwanda inaongoza kwa Elimu East Africa

kibogo

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
9,739
Reaction score
4,746
Nimesikiliza ITV Habari saa 2.00 na habari inasema kutokana na utafiti wa Shirika la Elimu Duniani Rwanda imeweza Kuboresha elimu na idadi ya watoto 97% wapo shule na Hii imetokana na Serikali kuweka kipaumbela katika Elimu kwa mpango wao wao ELIMU KWA WOTE.

My Take
Ni vema nchi hii Tukajifunza mengi wanayofanya wenzetu wa Rwanda kwani unapoweka kipaumbele katika Elimu mambo mengine yote ufuata na naandika hivi kwa sisi kuweka kipaumbele katika kilimo na kuja na kauli ya KILIMO KWANZA huku tukijua kabisa Kilimo bila Elimu hakuna mafanikio.
 
sasa waliposema inaongoza ni wapi? We kweli kiboga!
 
Kila mtoto mwenye umri wa kuanza shule anatakiwa kuwa darasani, kumbe rwanda mlikuwa hamlijui hilo? Poleni mmechelewa sana
 
Nilitaka kushangaa na kuuliza vigezo vilivyotumika kulingana na kichwa cha habari cha mtoa uzi......kumbe kichwa cha habari hakina mahusiano yoyote na habari yenyewe.......kaazi kwelikweli!!
 
sasa nchi ukubwa wake kama Mbagala ukishindwa kuwapeleka asilimia 97 darasani utakuwa rais au rahisi!
 
idadi ya watu sio kigezo bali wenye mamlaka wanatumia vip rasilimali kunufaisha wananchi kumbuka mwaka 1982 enzi za nyerere asilimia 92% ya watoto wote walipata fursa ya elim na tuliwazid rwanda@shiezo
 
endeleeni kuwabeza hivyo hivyo wenzenu wanasonga mbele!!
endeleeni kucheka cheka na elimu.mnadhan kuandikisha watoto wengi shule ndo ukuaji wa elimu.cha msingi ni mfumo bora wa elimu itakayoweza kuitoa hii nchi hapa ilipo.
 
Kama mtaji wa watawala wetu ni ujinga wetu, unafikiri ELIMU itakuja kupewa kipaumbele wapi? "Waache walundikane kwenye shule za kata wapoteze muda, wakitoka huko tutawapa daraja lenye namba kubwa (Div 5) kwa kujua kusoma na kuandika tu."
 
watanzania tunajazwa ujinga sijui na nani? kwani huo utafiti kaufanya Kagame? mtabaki hivyo hivyo na umbea wenzenu wanapaaa kwa kila jambo. wananchi dhaifu, wabunge dhaifu (ccm), viongozi wa serikali dhaifu
 
Kama mtaji wa watawala wetu ni ujinga wetu, unafikiri ELIMU itakuja kupewa kipaumbele wapi? "Waache walundikane kwenye shule za kata wapoteze muda, wakitoka huko tutawapa daraja lenye namba kubwa (Div 5) kwa kujua kusoma na kuandika tu."

Hata kusoma na kuandika wanamaliza hawajui, mtabaki kushangaa mara ooh kenya wamewaadhibu wachina kwa kukutwa na pembe za ndovu sisi huku tunawasaidia kuzivusha., wakishikwa wanaanchiliwa mara moja bila adhabu
 
Nimesikiliza ITV Habari saa 2.00 na habari inasema kutokana na utafiti wa Shirika la Elimu Duniani Rwanda imeweza Kuboresha elimu na idadi ya watoto 97% wapo shule na Hii imetokana na Serikali kuweka kipaumbela katika Elimu kwa mpango wao wao ELIMU KWA WOTE.

My Take
Ni vema nchi hii Tukajifunza mengi wanayofanya wenzetu wa Rwanda kwani unapoweka kipaumbele katika Elimu mambo mengine yote ufuata na naandika hivi kwa sisi kuweka kipaumbele katika kilimo na kuja na kauli ya KILIMO KWANZA huku tukijua kabisa Kilimo bila Elimu hakuna mafanikio.
Kirusi kingine toka kwa Mbwa Kagame
 
Nimesikiliza ITV Habari saa 2.00 na habari inasema kutokana na utafiti wa Shirika la Elimu Duniani Rwanda imeweza Kuboresha elimu na idadi ya watoto 97% wapo shule na Hii imetokana na Serikali kuweka kipaumbela katika Elimu kwa mpango wao wao ELIMU KWA WOTE.

My Take
Ni vema nchi hii Tukajifunza mengi wanayofanya wenzetu wa Rwanda kwani unapoweka kipaumbele katika Elimu mambo mengine yote ufuata na naandika hivi kwa sisi kuweka kipaumbele katika kilimo na kuja na kauli ya KILIMO KWANZA huku tukijua kabisa Kilimo bila Elimu hakuna mafanikio.

Mkoa wa kusini Magharib wameweka rekodi ya kupeleka watoto wote shule kwa 100%. Hii inafanya mkoa huo kuweka rekodi Tanzania nzima kwa kupeleka watoto wote shule.

my take: tujifunze kutokana na mkoa wa kusini magharib.
 
Nimesikiliza ITV Habari saa 2.00 na habari inasema kutokana na utafiti wa Shirika la Elimu Duniani Rwanda imeweza Kuboresha elimu na idadi ya watoto 97% wapo shule na Hii imetokana na Serikali kuweka kipaumbela katika Elimu kwa mpango wao wao ELIMU KWA WOTE.

My Take
Ni vema nchi hii Tukajifunza mengi wanayofanya wenzetu wa Rwanda kwani unapoweka kipaumbele katika Elimu mambo mengine yote ufuata na naandika hivi kwa sisi kuweka kipaumbele katika kilimo na kuja na kauli ya KILIMO KWANZA huku tukijua kabisa Kilimo bila Elimu hakuna mafanikio.

Hivi upuuzi huu wa kutaka kila kitu kujifunza RWANDA unatoka wapi?
 
sasa waliposema inaongoza ni wapi? We kweli kiboga!

kama haukuiona au kuisikia Taarifa ya habari ni vema ukasoma na kuacha kuliko kuchangia ujinga.

Kila mtoto mwenye umri wa kuanza shule anatakiwa kuwa darasani, kumbe rwanda mlikuwa hamlijui hilo? Poleni mmechelewa sana

Rwanda ni 97% ebu jiulize hapa kwetu ni %ngapi na Rwanda imekua juu ujue sisi tupo chini

chezea pro kagame wewe? Ni zaidi ya misukule ya gwajima
Hapa hakuna cha Pro Kagame huo ujinga wenu ndio maana unasababisha watoto wanamaliza huku hawajui kusoma wala kuandika
Nilitaka kushangaa na kuuliza vigezo vilivyotumika kulingana na kichwa cha habari cha mtoa uzi......kumbe kichwa cha habari hakina mahusiano yoyote na habari yenyewe.......kaazi kwelikweli!!

Una uhakika?

sasa nchi ukubwa wake kama Mbagala ukishindwa kuwapeleka asilimia 97 darasani utakuwa rais au rahisi!

Hicho sio kigezo na ndio maana kuna mtu ana mtoto mmoja kashindwa kumsomesha huku yule mwenye watoto 10 kaweza
 
Habari kutoka Rwanda zinazorushwa ITV zinatoka kwenye vyombo vya serikali ya Rwanda ambavyo ni full propaganda. Ndio maana hazinaga picha!
 
sasa nchi ukubwa wake kama Mbagala ukishindwa kuwapeleka asilimia 97 darasani utakuwa rais au rahisi!

nawe acha kujitoa akili wewe. udogo wa nchi (na idadi ya watu) hauna uhusiano wowote na kiwango cha maendeleo. kama nchi ni ndogo vilevile inakuwa na rasilimali chache. lakini mbona wameendelea kuliko TZ yenye rasilimali lukuki? jiulize.
 
Ningeshangaa nisingekukuta kwenye thread hii.HAKIKA wewe ni mhutu uliyejipachika utanzania.

acha usukule mkuu. kusifia mazuri ya rwanda kunamfanyaje mtu kuwa mhutu?
 
Back
Top Bottom