Rwanda defence force retreat-kigali (picha)

Rwanda defence force retreat-kigali (picha)

Are you for really?seems debating na watu kama wewe is just a waste of time ila hakuna vita wala beef kati ya TZ na Rwanda,M23 ni Congolese 100% and has nothing to do with Rwanda,Kikwete alitoa opinion zake na wenzake wakamjibu so ni kawaida na wala hakuna mtu anamwogopa au ataenda kumpiga mabomu kama anavyowapiga Chadema na huyo Mtikila ndio nani?mganga wa kinyeji au ?

Kumtetea Kagame is a hard thing,utakufa muda si wako
stop that shi.t
 
Kwani hushangai kwa nini hayo maneno yako na mapicha unayoweka na hizo propaganda umezianza hivi karibuni?. Kabla ya hapo mbpna mlikuwa kimya? Si ni baada ya Tanzania kuamua kupeleka vikosi vya JWTZ kule Mashariki ya kongo na kuzuia mirija yenu ndio mumeanza propaganda za kuongea na kuweka mapicha humu!. Tunaisifia sana Jwtz kwa sababu hakuna hata nchi moja jirani iliyowahi kuichokoza. Na hii inaonyesha inaogopwa mkuu. Unashindwa tathmini ndogo tu kama hiyo!? Mngekuwa hamuiogopi mngeichokoza basi muione uwezo wake! tu
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom