Rwanda 2- taifa stars 1 today match

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,003
Nilikuwa naangalia mechi kwa kweli yale matokeo ya tatu mbilinaona yamebadilika inaonyesha mpaka dk ya 70 tumefungwa 2 kwa moja na niyonzima akiwa ametushindilia bao moja bila kuwa mzalendo..so ukiwa kama mtanzania omba hizi dk 30 mungu wako atusaidie turudishe hata tutoke draw

kila la kheri taifa stars
 
Nilikuwa naangalia mechi kwa kweli yale matokeo ya tatu mbilinaona yamebadilika inaonyesha mpaka dk ya 70 tumefungwa 2 kwa moja na niyonzima akiwa ametushindilia bao moja bila kuwa mzalendo..so ukiwa kama mtanzania omba hizi dk 30 mungu wako atusaidie turudishe hata tutoke draw

kila la kheri taifa stars

Kwani huu mchezo unachezwa dk 100?
 
Nilikuwa naangalia mechi kwa kweli yale matokeo ya tatu mbilinaona yamebadilika inaonyesha mpaka dk ya 70 tumefungwa 2 kwa moja na niyonzima akiwa ametushindilia bao moja bila kuwa mzalendo..so ukiwa kama mtanzania omba hizi dk 30 mungu wako atusaidie turudishe hata tutoke draw

kila la kheri taifa stars

Acha upotoshaji mechi haijaanza hadi saa 10, hasira zenu za kisiasa mnazileta hadi mpirani? DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE!
 
Back
Top Bottom