Mbona za CCM husemi Ni za mabeberu kwani Tanzania tuna kiwanda. Wivu Hadi ...........mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Tuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguz anachukua magari yake
Chadema na tofautiana nao kushindwa kujenga makao makuu ya chama hata ofisi ya milioni 300 ya kisasa ambayo haina BOQ
Tatizo mmezoea kusikia toka kwa wajinga wenzenu tu, hampendi kuhakikisha.Tuwekee na kadi za hayo magari tuond mmiliki wake ni nani, maana nasikia magari yote yana jina la Mbowe, baada ya uchaguz anachukua magari yake
Hili swali sijui likaulizwe kwenye kampeni?Chadema na tofautiana nao kushindwa kujenga makao makuu ya chama hata ofisi ya milioni 300 ya kisasa ambayo haina BOQ
Hujaelewa mkuu, mtoa mada kasema zimenunuliwa kwa fedha za ruzuku bt sio kweli, shida ya machadema wengi hamuijui chadema vzuri mnarukia rukia tu mambo.Mbona za CCM husemi Ni za mabeberu kwani Tanzania tuna kiwanda. Wivu Hadi ...........