Tunawaendekeza sana Mamba.
Anzeni kuwatega na kuwala watakimbia hayo maeneo.
Nyasa ni ziwa kubwa halafu haliruhusiwi kuoga.
Yaani tunawaendekeza mamba kuliko binadamu.
Kuleni hao mamba ni watamu sana na watatoweka kabisa watu watumie mali asili ya ziwa kwa manufaa yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.