dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,130
- 49,391
... baaabuuu.Sasa mtoto aliyezaliwa atamuita babu au baba?
... baaabuuu.Sasa mtoto aliyezaliwa atamuita babu au baba?
Daah sijui amewezaje yaani fuse itakuwa imekata kichwani...Hivi Hata inasimamaje Kwa Mtoto Wako Mwenyewe ?!
kwani Shetani ni nani ?Eeeeh...! Shetani hajawahi kumwacha Mtu yeyote yule kwenye hatma nzuri ya kimaisha ukishakuwa mdau wake.
Yule Ruth aliyelala Na mabinti zake kwenye bible ilikuwaje?Huwa wanakuaga na mapepo na majini yanao waongoza wafanye hayo maovu..ni kuwaombea tu waione nuru ya Kristo Yesu.
#MaendeleoHayanaChama
Ushirikina ni uovuMkazi wa kijiji cha Luhagala, kata ya Litumbandyosi wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma, Aleyanda Mdendemi (54) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wake wawili na kuzaa na mmoja kati yao.
Akisomewa mashtaka hayo na mwendesha mashtaka wa polisi, Inspekta Seilf Kilungwe mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Ally Mkama amedai kuwa mbali na kufanya mapenzi na mabinti zake, pia anatuhumiwa kumuachisha masomo binti yake wa shule ya sekondari.
Mshtakiwa huyo ambaye ni baba mzazi wa watoto hao wawili anadaiwa kutenda makosa hayo katika nyakati tofauti ambapo katika faili la kwanza anatuhumiwa kufanya mapenzi na binti yake (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu, Desemba mwaka jana shambani kwao Kata ya Amani Makolo akidai anamtibu kupitia uume wake, kwani binti huyo alikuwa mgonjwa.
Aidha, mwendesha mashtaka ameendelea kudai kuwa mshtakiwa aliendelea kumlaghai binti huyo na kuendelea kufanya naye kitendo hicho kwa kipindi chote wakiwa shambani mpaka waliporudi kijiji cha Luhagala tayari binti yake alikuwa mjamzito na kisha kujifungua mtoto.
Credit: Swahili Times
Baradhuli huyu ahasiwe... Awe ndafuMkazi wa kijiji cha Luhagala, kata ya Litumbandyosi wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma, Aleyanda Mdendemi (54) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya kwa tuhuma za kufanya mapenzi na watoto wake wawili na kuzaa na mmoja kati yao.
Akisomewa mashtaka hayo na mwendesha mashtaka wa polisi, Inspekta Seilf Kilungwe mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Ally Mkama amedai kuwa mbali na kufanya mapenzi na mabinti zake, pia anatuhumiwa kumuachisha masomo binti yake wa shule ya sekondari.
Mshtakiwa huyo ambaye ni baba mzazi wa watoto hao wawili anadaiwa kutenda makosa hayo katika nyakati tofauti ambapo katika faili la kwanza anatuhumiwa kufanya mapenzi na binti yake (17) mwanafunzi wa kidato cha tatu, Desemba mwaka jana shambani kwao Kata ya Amani Makolo akidai anamtibu kupitia uume wake, kwani binti huyo alikuwa mgonjwa.
Aidha, mwendesha mashtaka ameendelea kudai kuwa mshtakiwa aliendelea kumlaghai binti huyo na kuendelea kufanya naye kitendo hicho kwa kipindi chote wakiwa shambani mpaka waliporudi kijiji cha Luhagala tayari binti yake alikuwa mjamzito na kisha kujifungua mtoto.
Credit: Swahili Times
Kila dhambi ufanyayo ujue mungu ameruhusu shetani hawezi kimbia Mana ndo dayosisi yakeMshana jr alisema kunadhambi ukifanya hata shetani nae akiona anatimua mbio
atamwita mzee babaSasa mtoto aliyezaliwa atamuita babu au baba?
Hivyohivyo km Ulivyoandika.Sasa mtoto aliyezaliwa atamuita babu au baba?
Bado hajapatikanaVip kuhusu baba mtu
Mzee ameshindwa hata kwenda kununua za buku tatuWadada walivyojaa mitaani hivi
Wanasema zama iliyojaa mahasi ilikuwa ni ya kina luti sodomah na GomorrahHaya mambo jaman hua najiuliza kuna mangapi mengine kama haya yanaendelea hayajabahatika kujulikana. Mungu endelea kuwaumbua waovu hawa.