Uchaguzi is all about numbers,raila ana number za kutosha? Au unadhani kenya ni kama bongo mahera ndio anaamua huyu apate kura ngapi.Namkubali Ruto lkn naona hana nguvu ya kupambana Raila
mkuu kuna picha na video zinatrend ,Ruto ana mabasi zaidi ya 10 yote bendera za chama chake na kuna kundi la watu 400 imeandaliwa kila sehemu anazunguka nao,wakimwagwa uwanjani utaona njano tupu kumbe ni wengi ni wale wale.Namkubali Ruto lkn naona hana nguvu ya kupambana Raila
labda unauhofia usalamaKila siku huwa najiuliza kwanini Mimi siwezi kuwa katikati ya umati,
Yaani kwangu sehemu ikifikia watu hamsini siwezi kukaa hapo
Ruto hapati uraisView attachment 2234129View attachment 2234130View attachment 2234132View attachment 2234131hii ni jana county ya Nyeri