Rutabanzibwa amtunishia msuli Waziri Huvisa

Rutabanzibwa amtunishia msuli Waziri Huvisa

Hivi inakuwaje huyo mtu anakaa kwenye wizara ya aldhi miaka 17?. Hakuna wengine competent?. Tena wizara hiyo inanuka kwa rushwa za kutoa hati fake za viwanja. Hapo kuna utata. Usalama wachunguze.

Ktk muda wa miaka 17 amekuwa Katibu Mkuu ktk Wizara za Nishati na Madini,Mambo ya Ndani,Maji na sasa Aridhi na Makazi. Ni mtu mmoja mtata sana ktk utumishi wake serikalini!

Kwa wasio mfahamu vema ni mchapakazi na mzalendo wa mfano,lakini kwa wanao mfahamu vizuri ni mla rushwa,mdhalilishaji wa wafanyakazi chini yake na ni mtu ambaye ameendelea kufunikwa na utendaji wa mtangulizi wake mama Sijaona!
 
Mkuu Ngambo Ngali halafu cha kushangaza vingunge wao DHAIFU na P Pinda wako kimya dhidi ya sinema hii kama vile hawahusiki!!!! Halafu wanajiita Serikali sikivu!!!


BAK, hii yote inaonesha jinsi utendaji serikalini ulivyokuwa at its lowest level ever. Waziri analalamika Katibu mkuu wa wizara anafanya mambo shaghalabagala hachukui hatua ili Katibu mkuu awajibishwe, Katibu mkuu wa wizara hiyohiyo kwa miaka 17 anasema kuna rushwa sana wizarani kwake na bado anaendelea na ukatibu mkuu bila kuchukua hatua yoyote. Sanasana anasema ameenda mahakamani bila kutaja alikuwa anamtetea nanai kwenye kesi iliyofunguliwa na nani. Wizara hii (ardhi) iko ICU sio utani.
 
Last edited by a moderator:
hongera mkuu naona wewe unajua zaidi ya documents ... navyojua kisheria kazi zote huenda kwa documents ndio maana hata EPA ilikula wasiohusika kwa sababu ya kutumiwa....wahusika wakuu wanakula bata tu!

Mkuu......Patrick ni smart hilo halina ubishi.....na nilipotumia neno kuwa yeye ni MAFIA....ndio u-smart wake wa kula mlungula ulipo.......kama umewahi fuatilia The Family Business i.e. MAFIA.....utaona kabisa wale jamaa wameua, wameuza madawa ya kulevya, wamesafisha pesa lakini hakuna pa kuweza kuwakamata.....it will take time kuwakamata....na siku za mwizi ni 40.....iko siku utashangazwa kusikia aliyotufanyia huyu Patrick......Kamati ya Mwakyembe ilughusia kidogo moja ya mikono michafu ya huyu jamaa......lakini ndio hivyo tena serikali yetu.....kila siku kulea lea maovu....... wachache sana waliopo madaraka wenye moyo wa kuthubutu.........
 
Nzi hivi hivi ukifanya upuuzi mtu akakupa hongera...kwenye lugha ya picha huwezi kuelewa hongera hiyo ni kejeli?
 
Last edited by a moderator:
Nzi hivi hivi ukifanya upuuzi mtu akakupa hongera...kwenye lugha ya picha huwezi kuelewa hongera hiyo ni kejeli?

Dah! Lugha ya picha!! Hapo kweli umenipiga chenga ya mwili.

Poa chifu, nimekupata sasa.
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By minyoo

Waziri muhaya na katibu Mkuu mhaya kisha mtuhumiwa ni muhaya unategemea nini?

Mkuu minyoo.
Jikite ktk kujadili mapungufu ya mhusika/wahusika badala ya kutuhumu kabila la wahusika!
NDIO KANG'OOKA HIVYO viwanja akisikia ni cha Mugishagwe anavimba kumbe cha kwake , kuna siku Ukabila utaisha maana tulisema Watutsi wapo kila kona Serikalini hata Ikulu sasa wanasafishwa wala sio kwamba kastaafu kwa hiari. Maana juzi tu kavimba na kufura
 
Ongeleeni wote lakini siyo Ruta. Huyu bwana ni mzalendo sana. Alipokuwa KM wa Nishati na Madini alipambana na ufisadi mwingi ukiwepo EPA lakini nguvu za juu zilimwelemea. Waulizeni watumishi wa Ardhi wawasimulie jinsi alivyowadhibiti wezi na wala rushwa.
Mimi mwenyewe nawashangaa.Patrick mnajua anapokaa Nyie ata gari analoendesha .Mnataka Rais Ponda na mtampata
 
Mkuu Ngambo Ngali halafu cha kushangaza vingunge wao DHAIFU na P Pinda wako kimya dhidi ya sinema hii kama vile hawahusiki!!!! Halafu wanajiita Serikali sikivu!!!

Kama kweli ni mchapa kazi amsaidie Mzee Ngonyani wa kawe alipwe Haki yake na Mama Rwakatare
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom