Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,417
- 7,612
Putin hii vita haitamwacha salama kiakili na kiafya.Ila naamini ipo siku Putin ataacha hii vita jinsi anavyopigwa kama sio Taifa kubwa ile kauli yake ya atakaeingilia kati atakiona kipo wapi maana naona USA anatangaza hela alizotuma pamoja na misaada mingine sio Mrusi akiwapiga hao USA na ndugu zake...
Hakutegemea hili